Ipad 3 inauzwa kwa bei poa.
Imetumika miezi 6 na ipo kwenye hali yake ya ubora ile ile.
Nakupata Gurantee ya miezi 6 ikisumbua niletee nitaitengeneza kwa gharama zangu.
Serious buyer only 255683 150 426
Je Umesumbuka kupata huduma za IT au vifaa vya IT?
It expert ni watalam wa maswala ya Computer na Wauzaji wa vifaa vyenyewe kama ifuatavyo:-
DATA REVOERY
LAPTOP REPAIR
LAPTOP MOTHER BOARD REPLACEMENT
WINDO INSTALLATION 7; 8 10
Driver installation
Memory replacement/ upgrade
MAC os installation...
ALIENS NI VIUMBE GANI?
Hawa ni viumbe vya nguvu za giza vinavyokaa au kumiliki anga. wanaojua mambo ya mapepo wanajua hili vzr sana. kuna viumbe wanamiliki na kuishi majini na wana mkuu wao na kuna viumbe vinamiliki anga na wana mkuu wao wa anga. uko ndiko sayansi yote ya dunia inatokaga uko.Je...
Usipakate laptop kwenye mapaja joto linalotolewa na laptop linaweza kuathiri ukuaji na kuzaliwa kwa cell hai zako za mwili.ivyo hepuka kujizuru kwa kununua Cooling Laptop Table @ Tzs 230, 000/.
Meza hii mbali na kutunza utumiaji wa laptop yako pia inapunguza joto kinalozalishwa na laptop kwa...
Ivi hawa maagent ya wa zile sociaty za kishetani mbona hamuelewi? Humu mitandaoni sio sehemu yenu ya kueneza propaganda zenu mlizotumwa kudanganya watu.Ulichaa na Mungu wa kweli wapi na wapi? Mbona unataka kudanganya watu. Unavyosema mungu najuabu unamaanisha Miungu yako ya kishenzi ndo huwa...
Siku yenu kubwa ni Alhamis ndo kila alhamis hata foleni huwa zinapungua sana mjini?.Mnatoa rehani nafsi zenu!!! Ivi kwanini nyie ndugu.Lucifer anawadanganya sana.. Moto wa jehanamu upo palepale we jifariji tu na iyo sociaty yenu..Si unakumbuka ile siku ya kwanza walivyokutambulisha kule kuzimu...
Mbona unaluka kujibu maswali saa nane usiku mkiwa uchi uku mkitumia damu za watu huwa mnafanyaga nini? Kwanini umeuza nafsi yako? Na je iyo sociaty yenu ya kichawi ndo imewagundisha kuwa binadamu hana Mungu? Alafu ule mwezi wa nne wote mlikusanya damu pipa ngapi maana mliua sana kwa ajali...
Wewe na wenzako uyo lucufer anawadanganya sana na leo mnadiliki kusema hamna Mungu.Mnatumika kuandaa njia ya 666.Mmeuza nafsi zenu kwa lucufer.poleni sana.Kule kuzimu wanapowapelekaga kwani hawajawahi kuwambia kuwa lile ni Gereza lake na aliwekwa uko na mwenye maalaka..Pale mnapofanyaga ritual...
Habari wote.
Maada hii ni ya kishetani na imetoka kwa wale ambao ji wanachama wa chama cha nguvu za Giza.hawa ni waabudu shetani ambao kwa sasa wanajaribubkuja wazi wazi kwenye mitandao na kuanza kujiposition na kuleta mawazo ambayo yatajaribu kubadili fikra za kweli za uwepo wa uflame wenye...
Kwa source za vyombonvya habari vya kimataifa ni kiwa hakuna tena serikali ya kiraia pale burundi..hata kama jeshi tiifublitashinda nchi ishaaribika ni vigumu sana kukaa sawa.kwa mtazamo ni kuwa nkurunziza alishindwa kuforeseen na kudetect the out come ya maamuzi yake aliyoyaamua kwa weredi wa...
Izo zote ni nguvu za giza ni roho chafu itendao kazi gizani...wachawi na waganga wote hutumia roho chafu kufanya kazi zao.wote wamelaaniwa na Mungu..Ndio maana kazi zao hufanyika kwa siri kubwa.
Je tinaangaikia ayo mambo yote ya kazi gani wakati Yesu christo alishakufa msalabanj kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.