Recent content by juvenaly dominic

  1. juvenaly dominic

    Prof. Rwekeza Mukandala bora ukae kimya tu utaibua mengi

    Asante sana, mwenye ubongo wa kufikiri kaelewa, ila wenye ubongo maji wataendelea kubishana
  2. juvenaly dominic

    Spika Job Ndugai, Naibu Spika Tulia Akson Mwansasu, lazima UKAWA wanyooke

    Nchi imeoza raisi anapeleka viongozi wake bungen, sasa ni nan atamsimamia mwingne, Am ashamd be to be Tanzanian
  3. juvenaly dominic

    Dr. Tulia achukua fomu ya kugombea Unaibu Spika CCM

    Asante Vitoni Pamagila kwa ujumbe wako kwenda kwa watanzania. Interesting Read, CnP: YOU KNOW WHY??... Coz IT HAD TO BE.... (a)SHERIA inasema SPIKA anaweza kuwa Mtanzania yeyeote mwenye sifa za kuwa mbunge. (Means si lazima awe mbunge) (2)"Dola" inataka Dr.Tulia awe SPIKA lakini upepo wa...
  4. juvenaly dominic

    Swali la Kimantiki: CCM wamuue Alphonce Mawazo kwa sababu zipi hasa?

    Ukisoma hii threat vizur utagundua huyu ni wale wale,;! Eti anasema mawazo alikuwa mtata sana,( mgomvi) Kwahyo yeye kuwa mgomvi ni tatzo kwa ccm;!? Maana iko wasi kauawa na green guard,.
  5. juvenaly dominic

    Mechi ya taifa stars: TBC 1 television ya taifa wataonyesha?

    Uhusiano upo mkubwa, ndio maana mkwere na magu watakuwepo LEO
  6. juvenaly dominic

    Masanja Mkandamizaji achukua fomu ya kugombea Ubunge Ludewa

    Ccm ni chama la familia, masanja anajisumbua tu;;;
  7. juvenaly dominic

    Ubaguzi kwenye mikopo ya Elimu ya juu

    Hebu nipe taarifa mkuu, wameshatoa majina ya waliopata mkopo!??;!!
  8. juvenaly dominic

    Maalim Seif akataa maamuzi ya ZEC, atoa tamko zito

    Akili ndogo juu ya akili kubwa,.
  9. juvenaly dominic

    Kamanda KOVA tunaomba ufafanuzi juu ya Taarifa hii

    Kova:;! Nawashukuru sana waandishi wa habari kwa ushirikiano na sisi police tumeacha kupendelea,, tuko bega kwa bega upande wowote Source;; ITV
  10. juvenaly dominic

    January Makamba: CCM imeshashinda majimbo 176 mpaka sasa

    Na ukawa nao wakitangaza hivyo itakuwaje;!? Au nyie ndio wenye mandate tu, ukawa wakitangaza tunaambiwa ni uvunjivi wa Amani;! Poor pombe fans:;;;;;;;;;;;
  11. juvenaly dominic

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Arusha uuuuwiiiii, sisemi kitu,. Ni lowassa tu,.
  12. juvenaly dominic

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    Kwa mantiki yako ni kweli udini upo NSSF,
  13. juvenaly dominic

    Mshindi Oktoba 25 (mathematical analysis)

    Hao wanachama wa ccm ndio watakao mpigia lowassa kura soma analysis vizur,. Lowassa anapendwa nje na ndani ya ccm
  14. juvenaly dominic

    Dr. Pombe Magufuli, ashindwa kutokea kwenye Mdahalo wa Urais wa Tanzania

    Ukisoma comment yangu compare na ya kwako utaelewa na akili yake ni robo GB,. Mwenye hekima huenda aja na kuijficha Bali mpumbavu husonga mbele na kuvimba kichwa,.
Back
Top Bottom