Recent content by juve pauly

  1. juve pauly

    Naomba kujua jinsi ya kutumia VPN

    Natumia iPhone nifanyeje kupata VPN
  2. juve pauly

    Naomba kujua jinsi ya kutumia VPN

    Natumia iPhone nifanyeje kupata VPN
  3. juve pauly

    Upinzani waangukia pua mahakama ya Afrika Mashariki

    Mleta mada Mbona unajichanganya, naomba urudie ulichoelewa na ulichoandika
  4. juve pauly

    Manispaa ya Kinondoni yasitisha kibali cha tamasha la Fiesta kufanyika Leaders Club

    wazee fiesta ipo leaders au haipo? nataka nijue ili niendelee kulala na kwamba nitaenda.
  5. juve pauly

    Mbeya: Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila, aagiza kijiji kizima wawekwe Korokoroni! Polisi watinga Kijijini hapo kutekeleza agizo

    Update Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Ulrich Matei amesema Polisi wa kutosha wameshatinga ktk Kijiji ambacho RC Chalamila ameagiza wananchi wake wakamatwe tayari kutekeleza agizo hilo. "Kilichofanywa na Wananchi hao ni Uhujumu uchumi hivyo lazima washughulikiwe". #MillardAyoUPDATES
  6. juve pauly

    Mbunge wa Jimbo la Liwale CUF Zuberi Kuchauka, muda wowote atahamia CCM

    Nashauri watu woote tuiunge mkono CCM, tuwe na chama kimoja tu, tuanze upya
  7. juve pauly

    Hebu tutafakari kwa kina na tukihurumie kizazi chetu kijacho

    Kuna watu wengi sana siku hizi za rafu za kuhama vyama vya siasa kutoka upinzani kwenda chama tawala (CCM), Wamekuwa wakifurahia sana. Lakini WENGI Hamjui madhara yake licha ya gharama za Uchaguzi katika marudio, eti mnatamani nchi yetu iwe chini ya chama kimoja. *MPO SERIOUS KWELI..??* Hebu...
  8. juve pauly

    Sammy Awamy (Mwandishi wa BBC) jirekebishe, kila 'umbea' unaupeleka BBC-Afrika

    Hebu tuwekee hiyo sera hapa aisee; Na mm niijue
  9. juve pauly

    Abdul Nondo asimamishwa masomo UDSM hadi kesi ya jinai inayomkabili itakapomalizika

    Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi Abdala Nondo ambae anakabidhiwa na kesi kutekwa (kujiteka) katika mahakama ya Iringa amesimamishwa kwa muda kuendelea na Masomo yake katika chuo kikuu cha Dar es salaam alipokuwa akisoma shahada yake ya Political science; Barua toka chuoni inasomeka hivi...
  10. juve pauly

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Tungefuata ushauri wako leo hii tungekaa upande wa Nani? Leo hii KOREA KASKAZINI wako katika mazungumzo;
  11. juve pauly

    Wakala wa majengo nchini (TBA) yatoa ufafanuzi baada ya kupatikana nyufa katika Hosteli za chuo kukuu cha Dar(UDSM)

    Kumbe hata mm nikijenga ghorofa langu la maana nitegemee UFA; acha nianze kujiandaa kisaikolojia
  12. juve pauly

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata Magari takribani 53 yasiyo na mwenyewe, IGP alaumiwa Mikataba ya Lugumi

    Afu mwisho jisifie, kama yeye alikuwa anajua since 2015 kwann hajachukua hatua, kwani ni mara ya kwanza kufika hapo bandarini??? If you can't convince them confuse them;
  13. juve pauly

    Dkt. Kigwangala, mmiliki wa chuo 'tata' cha Tabora Institute Health Sciences

    Maoni yangu ni kuwa acha kufuatilia maisha ya watu;
Back
Top Bottom