wewe tangu kampeni zianze ushawahi ona itv imerusha kampen za magufulii ila lowasa lakini startv na tbc zenyewe znajitahid kubalance coz hazna ukanda lakn itv duh wajirekebishe.
chadema wajiandae kwenda kuchunga ng'ombe na wengne kulima ndizi moshi watapata kipato. maana ccm tuna mpango wa kuondoa mfumo wa vyama vingi maana tumewahifadhi tu alafu mnatusumbua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.