Recent content by Justine77

  1. Justine77

    Mfalme amekaa vibaya, wananchi wanamchungulia lakini wanaogopa kumwambia

    Wananchi watachoka kuona uchi watamwambia tu tela bila hianaa [emoji1] [emoji1]
  2. Justine77

    Mfalme amekaa vibaya, wananchi wanamchungulia lakini wanaogopa kumwambia

    Ujumbe umefka,,,,,tunagawiwa magwangala tunashangilia, hatushangilii kwa furaha ila tunaogopa kushughulikiwa kikwelkwel kwan magwangala hayana faida kwetu... . Hadithi tamuuuuu aiseee
  3. Justine77

    Licha ya "tishio la kumzuia mitandaoni" Tundu Lissu aibuka tena na "kijembe" kwa Serikali

    Serikali makini ..ambayo haijali vyama huyu kamanda angepewa hata ujaji mkuu wa nchi.....natamani ningekuwa karbu unifundishe ujisir usiokuwa wakujipendekeza
  4. Justine77

    Nikimtazama Tundu Lissu huwa nacheka sana kwa anayoyafanya

    Ingekuwa nchi za wenzetu viongozi wanaojitambua huyu jamaa angetumiwa na angelisaidia taifa.
  5. Justine77

    CHADEMA imeitekeleza nyumba ya Alphonce Mawazo?

    We kama in mzalendo umeisaidiaje hiyo familia ahadi hizo nan aliahidi chadema ndo walimua? Acha kujipendekeza we fox utaolewa.
  6. Justine77

    Pendekezo juu ya maandamano ya 1st September

    Umoja unahitaji kutekeleza hilo lakini mi nailaumu serikali kwa sababu imekuwa bubu badala kukaa mezani na kuyamaliza lakini ndo kwanza wanatoa vitisho.. Ngoja tusubiri ila naamini hawataathirika wanachama, mashabiki wala wapenzi wa vyama pinzani bali ni wananchi wote....magufuli take care ICC...
  7. Justine77

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Nyie mnaolopoka vile mna ushahidi au mnajifurahisha tu we ni mtanzania chukua jukumu LA kumshtaki utasikilizwa unawategemea wampeleke wameshindwa mpelekeni nyie sasa.....tulizeni munkari sidhani kama mnajua hii issue kwa undani.
  8. Justine77

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Hakuna wa kumpeleka mahakamani,,kwa sababu hawana hoja za msingi ingekuwa ni fisadi sasa hivi angeshawajibishwa.
  9. Justine77

    Bunda: Madiwani wa CCM wagomea Madawati yaliyotolewa na Mbunge wa CHADEMA Mh. Bulaya

    Maendelep yatakujaje kama watu wanaleta uvyama hadi kwenye huduma za msingi? Hayo madawati hawezi kalia mototo wa bulaya pekee au mtoto wa chadema ila ni watz wote.... Pitieni vyeti vyao hawa madiwani
  10. Justine77

    Kujijenga kwa Tundu Lissu ni tishio kwa uongozi wa CHADEMA

    Wanaomfatilia ndo wanampa umaarufu kwa kutofikiria wanayouyafanya
  11. Justine77

    Jeshi la Polisi: Tumejiandaa barabara kukabiliana na operesheni UKUTA ya CHADEMA

    Lengo LA ukuta c kuvuruga amani au kuleta vurugu mbona serikali inatumia nguvu nyingi kuliko akili nyingi, wangekuwa watangaza vurugu au vita hapo mdo mngeanza kujihami....kwel Tanzania imeingiliwa na bora viongozi. Makonda acheni watu wafanye mambo yao badala ya police kutumia muda mwingi...
  12. Justine77

    Tundu Lissu afikishwa mahakamani, Mawakili wa Jamhuri waomba wakili wa Lissu awe shahidi wa Jamhuri

    Sasa MTU mnamkamata ushihidi huna,kweli hii ni tz ya hapa twende tuu
  13. Justine77

    Magufuli kama wewe ni jasiri, tangaza hali ya hatari, katiba inakuruhusu!

    We freema achaawazo uchwara watu wanazibwa midomo wasiseme,wasokosoe ulopokaji nchi ni ya watz wote
Back
Top Bottom