Ukiaminika jiaminishe, je utajisikiaje mkeo nae ukamkuta na mimba ambayo si yako!!?[emoji15]! Vaa viatu vya mkeo mwombe Mungu msamaha na kimbia UFE jipange vizuri la sivyo unaenda kubomoa nyumba yako kwa mikono yako mwenyewe pole sana.
Kibiashara huwezi kufungia pesa utegemee kupata pesa mwendo wa fedha ni kuzunguka. Ukichimbia talanta haiwezi kuongezeka ukija kuifukua waikuta vile vile
Eneo linauzwa mbezi beach barabara ya white sand jirani na shule ya English medium ya Elite eneo lina fance na nyumba ya nyumba vitatu Umeme na maji tayari limepimwa na lina hati ukubwa 4500sq m. Bei ni 450m.
Mawasiliano ni 0715276905
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.