CCM ndiyo waleta siasa kwenye maisha ya watu, wanamtwara hawana Maji safi, huduma za afya na elim dun!! Lazima wadai. Na tatizo viongoz wa ccm ni wabinafsi xana yaan wanachowaza ni family zao tu! hawafikir kuwa wao ni viongoz wa WATANZANIA wote.
Hapo tayar kila mtu ana chake, Watanzaia wakafie mbali na baada ya 5years, linakuwa halikiz mahitaj!! "AMKA KIFIKRA" yaan kijana ukichagua tena ccm lzm utakuwa na matatizo!
Am Justin, nahitaj mdada wa kuoa kbs, sifa ya kwanza awe mkweli na mwaminifu, asizid miaka 24-27 aliye tayari tuwasiliane kwa(octavian.justin@yahoo.com)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.