Recent content by Just Distinctions

  1. Just Distinctions

    Je, tunawalea watoto wetu kwenye mazingira salama kupita kiasi mpaka miili yao imesahau namna ya kupambana?

    Katika kitu ambacho siwezi kujutia kamwe ni maisha yangu ya utotoni, kwa hakika niliishi vilivyo kuanzia kucheza mpaka kuzurura Ni ujana tu ndio nahisi sijautendea haki sababu kila kitu ni hela, ukitaka kwenda resi bila michongo either urudishe namba au uleft group Mapambano yanaendelea...
  2. Just Distinctions

    Mnaionaje biashara ya partnership kwenye hili?

    Kibongo bongo jau sana, unaweza shangaa mtu anaiubadilikia mbele ta safari. Ubakuta sahihi zile zile za makubaliano anabadili kuwa ulimuzia hivyo kuwa makini sana, au labda kama una Kampuni na Nyaraka zimesajiliwa kwa jina hilo. Sio kwamba haiwezekani, inawezekana sana ila tatizo Bongo Nyoso...
  3. Just Distinctions

    Waliokatwa vidole baada ya kuonekana wamepiga kura Roman Catholic (RC) haina cha kuongea?

    Ni nani huyo aliekatwa kidole? Naomba share video yake akilalamika kukatwa kidole
  4. Just Distinctions

    Nitumie mbinu gani kujifunza kiingereza kwa urahisi

    Namna nzuri ya kujifunza ni kwanza kuwa na bidii (tena sana) Kiingereza ni kigumu na kinataka ukifanyie mazoezi hivyo anza na hiki Kuna App ambayo unaweza kuinstall kwenye simu nyingi ni free ambazo utajifunza taratibu nashauri English Grammar Test ( Nithra) ipo Playstore Yenyewe...
  5. Just Distinctions

    FIFA kufuta magoli yanayofungwa kupitia mpira unaotemwa na kipa

    Sasa wameanza penati watafuatia na faulo sasa Anyway, ngoja tuone itakavyokuwa
  6. Just Distinctions

    Nimenunua Umeme muda huu, gharama zimepanda kimya kimya kutoka Tsh 125/unit hadi Tsh 312/ unit kwa mita za kawaida (majumbani)

    Next time jitahidi hata kuficha namba muhimu za taarifa ya huo muamala ili kujilinda, ili next time ukijichanganya usiishie kudakwa kama panzi Kwani hujui kwa huu muamala tu unaweza kudakwa na ikajulikana unaishi wapi?? Siri sio namba yako ya simu tu, kupitia huu muamala naweza kupata vyote...
  7. Just Distinctions

    Mchekeshaji Asmah wa Cheka Tu kanunua Mitsubishi Outlander: Kaleta na Outlander Tour!

    Mmmh hapa nina kila sababu ya kujiuliza ikiwa mmoja wa wanaoingiza hela nyingi zaidi kwa Tanzania ameweza kufika kiasi hiko kwa Youtube pekee Labda kama ameunganisha na platforms nyingine na kupata mapato ya jumla Ila anyway, chochote kinawezekana kila la heri kwao
  8. Just Distinctions

    Kwa Mara ya Tatu na ya mwisho; Naiomba Serikali imuachie Tundu Lissu Kabla ya Septemba 7

    Nafikiri itakuwa jambo jema ukisema utarudi kufanya nini, ili tuwe mashahidi kwamba ulisema isipotekelezwa amri/ombi lako utafanya deshi and deshi Hivi hivi haitakuwa na mashiko maana unaweza kuja na kusema vinginevyo kabisaa
  9. Just Distinctions

    Dada, usiwaamini madereva Bolt

    Uaminifu ni kitu cha muhimu sana, inasikitisha pale chombo ambacho unaamini ni salama, kumbe ndio kinatumiwa ndivyo sivyo na wasio na tabia njema. Binadamu ni watu wa ajabu sana, kwa mtu kama huyo hata kesho na kesho kutwa kaona tu umepanda na bidhaa ya thamani na akakupeleka nyumbani, si...
  10. Just Distinctions

    Usifanye mazoezi mazito baada ya miaka 35, Unajiua mapema

    Hapana , ila humu huwa nachukulia mtu kama mchokoza mada hivyo muhimu kujiridhisha kabla ya kuchukua hatua
  11. Just Distinctions

    Usifanye mazoezi mazito baada ya miaka 35, Unajiua mapema

    Ok shukrani kwa Tip, ngoja nifuatilie kwenye Vyanzo vya kuaminika kwa taarifa zaidi
Back
Top Bottom