Recent content by jussep7

  1. J

    Ushauri wa bure: Epuka kutumia majina ya ukoo katika kazi

    Ni uzuzu tu. Kama unataka dini nenda nyumba ya ibada au kapigie kwako. Wabudha , wakristo, waislamu, wapagani nk kila mmoja akipiga numb za dini yake si itakuwa tafrani? Inahitaji ustaarabu tu wala sio nguvu nyingi kuelewa hili
  2. J

    Je, huu ni ushauri sahihi au kaingia eneo bovu?

    Don't play this at home
  3. J

    Project ya UDART imeshakufa

    Kuna haja management kujitafakari haraka sana. Dhana ya mwendokasi inakufa. Huduma haimvutii mtu mwenye gari yake kuiacha nyumbani atumie usafiri wa UDART. Wajitafakari kwa kweli
  4. J

    Pamoja na malalamiko yasiyoisha kuhusu udogo wa mishahara, hakuna Mtumishi yeyote mwenye jeuri ya kuacha kazi

    Sasa bila wafanyakazi kulipwa vizuri wakulima na wafanyabisshara watapatia wapi? Wafanyakazi wakilipwa vizuri watanunua vyakula mkulima afaidike, atanunua bidhaa mfanyabiashara aneemeke, atajenga fundi apate ajira nk. Sasa wafantakazi wasipolipwa vizuri hawa wengine wataneemekaje?
  5. J

    Baba mwenye nyumba na kondom zangu

    Hujaeleweka. Wanaongoza kupata msambukizi wakati jamaa analalamika wanamkopa condom hawalipi? Iweke vizuri
  6. J

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] kwahiyo unashauri matapeli wawe na lugha nzuri?
  7. J

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Katafute mpya kama hutaki mtumba. Ila miaka 30 jela itakuwa inakutafuta na wewe
  8. J

    Serikali kuongeza kodi kwenye vitu vya nje, ni kuboresha bidhaa za ndani au ni kudumaza?

    Hakuna nchi iliyoendelea ambayo hailindi baadhi ya viwanda vyake. Hoja labda iwe ni viwanda gani vilindwe. Huwezi kuachia uholela kila uchafu uingie nchini halafu utegemee kuimarisha viwanda vyako vifikie hatua ta ushindani. Acha wenye uwezo wanunue vya nje ili vya ndani vijitahidi kufikia ubora...
  9. J

    Diwani kata ya Magu Mjini atuhumiwa kubaka binti wa umri wa miaka kumi na sita

    Umemjibu vizuri sana. Sitii neno. Mleta mada ni mbumbumby kuhusisha chama na ubaksji. Hana hoja
  10. J

    Kuna haja ya kuwa mwanachama wa chama cha wafanyakazi?

    Hakuna. Ni mradi wa watu tu. Haisaidii chochote
Back
Top Bottom