kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Vyama vya wafanyakazi vina kazi ya kutetea maslahi ya wafanyakazi na kuongeza tija kazini.
Ukiwa mwanachama hai wa chama cha wafanyakazi mahali pa kazi utalazimika kukatwa 2% ya mshahara wako kila mwezi kwenda makao makuu ya chama husika. Asilimia 2-5 ya makato hayo yanabaki tawini kwa matumizi ya viongozi wa tawi kazini.
Kwa hali ilivyo sasa Tanzania kuna haja mfanyakazi kujiunga na vyama vya wafanyakazi?
Ukiwa mwanachama hai wa chama cha wafanyakazi mahali pa kazi utalazimika kukatwa 2% ya mshahara wako kila mwezi kwenda makao makuu ya chama husika. Asilimia 2-5 ya makato hayo yanabaki tawini kwa matumizi ya viongozi wa tawi kazini.
Kwa hali ilivyo sasa Tanzania kuna haja mfanyakazi kujiunga na vyama vya wafanyakazi?