Daah nyie wanawake ni mashetan aise mrejesho ni kwamba baada yakuchimba ili jambo kiundani kwa mbinu zangu za kivita nimekuja kugundua ni kweli mama D ametombwer na jamaa unajiita Hassani kama upo umu mmefanikiwa kuharibu maisha ya mwanangu
KATAA NDOA KUMMMMAKE
SIO POA AISE INAUMA SANA NDUGU ZANGU
Nilijikaza nimefupisha tu maelezo ila mwanzo alikua serious hana tabia yakuigiza kulia aliyemshauri aniambie ni utani kanipa wakati mgumu yani hata akipiga sim mwili unaishiwa nguvu
Bila salamu,
Ndugu zangu mimi ni mwenyeji humu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea hivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mna uzoefu nayo.
Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takriban miaka mitano sasa na...
Nahitaji madini kama ayo kwasasa ngoja niingie kweny ajira tu nadhani sikuwa mfatiliaji kiundani ila kwa sasa nahitaji acha nifatilie ukipata update usisite kunitag fursa
Salaam,
Mimi ni mtanzania msaka tonge kama wasaka tonge wengine nakumbuka mwaka 2016 nilihitimu diploma yangu katika chuo kinachotambuliwa na serikali ya Tanzania, nina vyeti vitatu apa nilipo cha NTA Level 4,5,6 ila najua kwa kazi niliyoikusudia apo ntatumia cheti cha Level 5.
Jambo langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.