Recent content by Jurrasic

  1. Jurrasic

    Tukiacha ushabiki wa kivyama na Unafiki, Hoja ya Spika haijajibiwa

    Point ya kwanza ni utumbo"pumba" Hoja ya msingi ambayo haijajibiwa Tozo ni Kodi juu ya Kodi Na sababu ya kuipitisha bungeni ni kwamba isadie tuweze kufanya mambo binafsi Kam nchi bila misaada au mikopo.. Sasa Kama Kuna tozo kwa nini tukope mikopo ambayo haizalishi.. Yan unakopa kupambana na...
  2. Jurrasic

    Hayati Dkt. Magufuli alikuwa akiwaza nini?

    Uchawi Title ya thread una uliza magufuli alikuwa anawaza nini? Kweny content unasema alikuwa anaenda jiongezea muda Huu ndio uchawi wenyewe unajua mtu mwingine anawaza au fikiri nn?? Maiti haiwezi kukujibu ilikuwa inawaza nn ndugu Alaf Nan alikwambia utumie cheti feki aisee
  3. Jurrasic

    Rais Magufuli atangaza siku 3 za maombolezo ya Kitaifa kufuatia kifo cha Robert Mugabe

    Habari kuhusu nchi za Africa hutolewa na cnn ,aljezeera,BBC ,dw &France 24 Hata vyombo vya habari vya nchi ya Africa hutoa habari kuhusu nchi nyingine za Africa kutokana na taarifa kutoka vyombo vya habari nnje ya Africa Hi inamaana wanaweza kutuaminisha chochote kuhusu nchi za Africa pale...
  4. Jurrasic

    Rais Magufuli atangaza siku 3 za maombolezo ya Kitaifa kufuatia kifo cha Robert Mugabe

    Alaf kumbe wewe ndo mpumbavu mwenyewe We jamaa tulibishana sanah kwenye thread kuhusu raia wnyw asili ya kihindi bongoo Ilah nimefurahi your proud of being in Africa & pia umetambua harakati za panafricanist Robert Mugabe ambaye Ali thubutu kuwakemea nchi za marekani na za magharibi...
  5. Jurrasic

    Hatimae nimekula mwanafunzi wa kitawa

    Siku hizi watu wanajisifia ngono!!!
  6. Jurrasic

    Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

    Ww jinga sikia siwezi poteza mda kuandika Kama unavyotaka Nimezaliwa naongea KISWAHILI mpaka form 4 nimesoma KISWAHILI nkafaulu Sina haja ya kuandika kwa ufasaha Kama naandika ishu siliazi kumbe na bishana na watu ambao hata uwezo wao kufikiri na mashaka nao
  7. Jurrasic

    Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

    Pumba zimeisha!! Leo hiii bongo vijana wana struggle kujiendesha kwenye private sector wewe unazungumzia kuteka soko la ajira kwenye organizations Africa
  8. Jurrasic

    Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

    Bro Mimi najuah KISWAHILI tu kisukuma au lugha yoyote sifahamu Baba angu hajui lugha yoyote zaidi ya KISWAHILI na kiingereza tu Nikisema lugha mama KISWAHILI usiwashwe Alaf endelea kuwa na mashaja na elimu yangu utapata ajira
  9. Jurrasic

    Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

    Relax hatuja gombana!! Naona nikujibu kitu kimoja alaf mengine niayaache ilah nioichokiuna wewe fala mbishi alaf huna point zinazoeleweka Kenya hakuna uzalendo!! Kenya Kuna ukabila mkubwa, Kenya Kuna gap kubwa mnoo matajiri na maskini!!! Matajiri wachache wakenya wanafanya uchumi uonekane...
  10. Jurrasic

    Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

    We jamaa Ni fala nimeangalia texts zako mpaka nashindwa kuvumilia!! Kwanza, hizo post attachment niza 2011 & moja ni ya 2016 na Sasa hivi Ni 2019 utalinganisha vipi wakati Kila kukicha miradi inazinduliwa Alaf Kuna mshamba huyo amekaa Tanzania miaka 2 alaf usikute kigoma ukoh alaf amekaa Kenya...
  11. Jurrasic

    Kiongozi ' Kujisifu ' Kutamani Wanawake tena Wake za Watu mbele ya Rais ni ' Upumbavu ' mkubwa badilikeni

    Wewe si agent was kagame Mambo ya bongo yanakuhusu nn??!
Back
Top Bottom