Wacha ujinga ww Zanzibar hakuna udini.. waislam wameishi na wakristo kw miaka mingi sana bila ya kubughudhiwa.. lamcngi tafuteni chanzo cha hayo sio kupalilia chuki.. km hamuwezi kuishi Zanzibar ondokeni nyote musitafute sababu.. paka wee..!
Mm nahc maana yake kua ni "Tambara pori" hahahaaaa.. Watanganyika mjue hivyo nyinyi ni watu wa tambara pori.. njoni ZANZIBAR tuwatafutie jina jamanii.. tumekupeni Dar-es-salam zuri tu lkn ni la mji.. njoni tukupeni la nchi sasa msione tabu..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.