Ndugu njia nyepesi ya kufikisha ujumbe wako ni kwa njia ya barua. Maana hata kama mtu hataki kukusikiliza lakini barua ataisoma hadi mwisho. Weka CV zako zote, Anuani ikiwa ni pa moja na namba za simu na barua pepe. Ila sasa usiogope kupokea simu. Elekeza
maombi kwa Mkurugenzi Mkuu wa UWT...
Jambo jingine la msingi kabla hujaenda huko muulize mdogo wako kwa nini anaipenda hiyo kazi lakini anawaogopa hao UWT. Swali ls kwanza utakaloulizwa ni kwa nini unaitaka hiyo kazi. Vinginevyo unatakiwa kujua kuwa hiyo ni kazi kama kazi nyingine. Kuna mazuri na mabaya yake. Kuna raha na tabu...
Kwa kuwa kazi zao huwa hazitangazwi hakuna tatizo kama utakwenda ktk ofisi zao kueleza shida yako. Wapo kwa ajili ya kuwatumikia watanzania. Au, kama unafahamiana na mtu anayefanyia kazi huko ongea naye ili akupe muongozo.
Wanasiasa wamekuwa wakituaminisha kuwa katiba mpya itatatua matatizo yaliyopo. Tuchukue suala la rushwa ambalo ni kero kubwa hapa nchini. Katiba Mpya italiondoa vipi? Huwa najiuliza! Ktk Katiba iliyopo kuna ibara inaruhusu Rushwa? Kama hakuna rushwa inatoka wapi? Katiba mpya itazuia vipi rushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.