Bwana mdogo huamini usalama wa nchi ni wa kila mmoja wetu mi naona ni bora ujitokeze mseme ni kipi kimewekwa uchi ili kuisaidia nchi yetu iendeleee kuwa ni nchi yenye ulinzi imara,tatizo lenu humu ndani ya jf mmekaakaa kiiitikadi,badala ya kusaidia nchi mnabishana hata mambo msioyaelewa kwa...
Naona vikao vya chama chadema vimelenga sana kwenye postmotum yaani yaliyopita,maana yake vinazidi kutaka kutengeneza matata,lakini sio namna ya kuyatatua,pia hiyo ripoti yao inaonesha kama vile wao si wananchi wa Tanzania ni kama vile jeshi la kukodiwa lilokuja kusaidia ukombozi wa...
Mzee mwanakijiji naomba unijibu maswali haya matatu
1.je Mbowe alionesha uzalendo kuhudhuria karamu hiyo?
2.je sio usaliti kwa chama chake?
3.je mazugumzo hayo yalikuwa si ya kumnunua?mazugumzo gani yatafanyika ikulu kwa siri na...
Dr, ulishachoka cha msingi ni kutafakari na kuchukua hatua,huenda ziara ya nje imekulewesha unaanza kuweweseka na kuongea vitu ambavyo unaongea kama unatoka usingizini,je ungekuwa unaenda kila siku huko si ungekuwa mchovu wa akili kabisa,pisha vijana rudi ukamtumikie Bwana aliyekuita mwanzo,sasa...
Hakika nimetambua kuwa Watanzania bado tuna safari ndefu sana,kama mjadala wa Mhe waziri mkuu umekuwa ndio gumzo ndani ya mitandao ya kijamiii,we still think by using little minds,leo mkiulizwa ni watoto wangapi wanakufa kwa kukosa huduma za msingi,ama familia ngapi zinafurugika na kusababisha...
Elikaeli Mbowe,Zitto Kabwe,Mabere Nyaucho Marando hawa wote ni usalama wa taifa au ni vibaraka vya usalama iweje leo ndio wawe wa kwanza kuilaumu usalama wa taifa wakati wao ni watumishi wazuri wa serikali iliyopo madarakani na wanalipwa posho zao,ukitaka kulijua hilo waulize kabla ya kupeleka...
MHE Rais wa Jamhuri ya muungano ameamua kutoa dukuduku lake ndani ya nafsi yake, kama ilivyo kawaida yake kusoma taarifa ya mwezi kwa wananchi wake wapendwa wa TZ kwa kutumia screen kubwa ambayo huwa iko mbele yake yenye kuonesha hotuba anayoisoma hakufanya hivyo mwezi huu ameamua kutoa...
Mi naona kamati ya ufundi ya chadema walichelewa kuligundua hilo mapema,tayari wameshachafuka, watamtosa mshikaji familia yake itabaki inateseka mtaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.