hatimaye yule mkuu wa usalama wa mamlaka ya bandari[tpa] aliyesimamishwa kwa ubadhirifu bwana devid mranda leo amekabidhiwa barua rasmi ya kutimuliwa, akikabidhiwa barua hiyo hii katika ukumbi wa mamlaka ya mawasiliano pale ubungo ambapo bodi ya tpa ilikutana kwa kazi hiyo chini ya mwenyekiti wake prof. Msambichaka, bodi hiyo imemkabidhi barua ambayo inamtaka afungashe virago vyake mara moja na kurudi ofisi yake ya zamani [tiss], mranda mara nyingi alikuwa akijigamba yeye ni mtu toka ofisi ya rais na hakuna wa kumgusa.