Recent content by junior major

  1. J

    TCU 4th ROUND: HIVI NI KWELI KUNA CONNECTION YOYOTE KATI YA TCU,BODI NA CHUO?

    inaelekea shule ulikua kiraza sana, mada imebeba kitu cha msingi kabisa ila ww na akili yako mbaya unataka kuipotosha.
  2. J

    Msaada wadau kuhusu open unv of tz

    sawa ndugu, ila hujanijibu bado.
  3. J

    Msaada wadau kuhusu open unv of tz

    wazaz wako wanasoma chuo gani?
  4. J

    Msaada wadau kuhusu open unv of tz

    Kuna yeyote aliepata kwa wale walioomba open kuanzia mwezi october kupitia center zao,( undergraduate)
  5. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NATAFUTA MWALIM WA KUBADILISHANA VITUO VYA KAZI, AWE NI KUTOKA TANGA, WILAYA ZIFUATAZO; MUHEZA, TANGA MJIN/VJJN, PANGANI NA LUSHOTO. YEYE AJE GEITA BUKOMBE. kwa aliyetayari tuwasiliane kupitia PM.
  6. J

    hiki ni kiingereza?

    English grammar sometimes is complicated. Of course, all languages! Do, does, doing, did, done are the verbs in different forms. Does is used for 3rd person singular. Ex. She does not like cold food. Note: "I" is first person, "YOU" is second, "HE","SHE" or "IT" are third person. DOES is...
  7. J

    hiki ni kiingereza?

    English grammar sometimes is complicated. Of course, all languages! Do, does, doing, did, done are the verbs in different forms. Does is used for 3rd person singular. Ex. She does not like cold food. Note: "I" is first person, "YOU" is second, "HE","SHE" or "IT" are third person. DOES is...
  8. J

    Wahenga ni akina nani hawa?

    Hahahaha, hatari ndugu WAHENGA NI WAZEE WA KALE "MABABU"
  9. J

    Wafungwa wa hukumu ya kifo wagoma kula

    kwa mtazamo wangu, kama hukumu ya kunyongwa ni harali kwao, basi hawatakiwi kulalamika kwan hao ni wauaji. hv kwa mfano wale waliomjeruhi Dr MVUNGI na kusababisha apoteze MAISHA kuna haja ya kuwaonea huruma, eti wale vizuri ili iweje na kwa manufaa ya nani? R.I.P DR Mvungi...
  10. J

    Msaada please

    kumuona mwanasheria ni jambo la msingi na ni lalazima, lakin kwa nini usianzie kwa walio kuuzia hilo eneo? na kwa kipindi hicho chote cha miaka 3 uliyouziwa huyo bwana yeye alikua wapi na hizo hati zake?
  11. J

    Msaada ndugu zangu heslb

    taarifa rasmi ya bodi; tatizo wanasema ni system ya network ktk ofisi zao hivyo wataalamu wao wanashughulikia kuanzia sasa, mwanzoni hawakuwa na taarifa juu ya hilo tatizo.
  12. J

    Mansoor hatokwenda mahakamani kutetea nafasi yake

    Wazanzibar kazen buti, ccm isiwachanganye
Back
Top Bottom