Kama wewe unataka kujua kuhusu timberfloor kwanza jua mbao zinazotumika kutengeneza hiyo floor ni mbao za hardwood miti maalum kwa ajili ya kujenga floor, sio kila mti miti mizuri kabisa ni; mbanga,mzima, mtiki,kandanda, mkurungu, mvule, mkola, mninga na miti mingine yapori