Kwanini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?
Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.
Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar
Melo yupo Dar,
Vyuo vikuu Bora vipo Dar
Flying over za maana zipo Dar
Uswahilini kupo Dar
Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar
Assume wewe Ni form 6 tunakukuta unafanya mtihani wa form one, si uonevu huo?
Hivyo HIVYO kumchukua form 1 afabye paper ya form 6 Ni manyanyaso.
Hayo
Think big
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.