Recent content by Juma2010

  1. J

    Nimeota mpenzi wangu amevishwa pete ya uchumba

    Duuuh. Sikuwahi kujua kama kuna binadamu anaweza kutoa laana. Sala yako ikashindwe kwa Jina la Yesu ♥️
  2. J

    Nimeota mpenzi wangu amevishwa pete ya uchumba

    Wadau. Nimeota demu wangu amevishwa pete ya uchumba na jamaa askari polisi na kwamba yeye ndiye alimtoa bikra. Kwamba demu anampenda sana mshikaji. Mtu mmoja akahoji mbona anaavaa pete ya uchumba muda wote? Anamlingishia nani? Nikacheka. Halafu ni kweli demu ana pete kidole cha kati...
  3. J

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Bro nashukuru sana. Sijamtafuta siku 1 naye amepiga kimya. Baada ya siku 3 nitafuta namba yake maisha yaendelee. Dunia hii tusikubali dharau
  4. J

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Asante sana wadau kwa ushauri
  5. J

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Hili nalo ni gumu. Kuamini kwa hawa viumbe ni ngumu sana
  6. J

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Hapendi zawadi yoyote yaani. Anasema anahudumiwa na wazazi wake. Daaaah. Ngoja niachane nae
  7. J

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Hii kauli inatafakarisha sana
  8. J

    Mpenzi wangu ameniambia Yuko single

    Wadau salaam, Demu wangu niliyekaa nae kwa mwaka mmoja hivi nilimuuliza baada ya kuona anaweza kukaa online bila kunitafuta mpaka mimi nimtafute. Nilimuuliza kama ana mwanaume mwingine? Alinijibu hapana nipo single. Amekuwa akibadilika badilika. Leo akiamka vizuri atakuita mpenzi. Keshokutwa...
  9. J

    Matokeo ya usaili TRA 2025

    Hii mitihani ilivuja
  10. J

    Upembuzi kuhusu utofauti wa kozi za Computer Engineering, Computer Science na Information Technology / Systems kwa kuzingatia mazingira ya TZ

    Kwangu binafsi nimesoma Computer Engineering na sioni tofauti yake na Telecom Engineering zaidi ya mtu wa Telecom kuwa sharo kuliko wa CE. Kwa ufupi CE anajua issue nyingi za Telecom kuliko Telecom mwenyewe
Back
Top Bottom