Unaongelea uislam ao walimu wa madrasa?
Dini ya uislamu imekemea zinaa mwalimu wa madrasa akiteleza siyo uislam umemwamrisha,,
Istoshe hawezi mwalimu wa madrasa kukaa na mwanamke anamzini miaka mitano halafu ndiyo aoe,,
Uislamu ni mwepesi kwenye ndoa,,
Hayo ya kulawiti hayana msingi...