Mbona kajopambanua vizuri tu kwenye aya hizi na ziko nyingi
Na Mola wenu akasema "Niombeni nitakujibuni". Kwa hakika wale wajivunao kufanya ibada yangu bila shaka wataingia Jahannam, wadhalilike".
(Sueat Al - Muumin - Ghafir- 60).
Na akasema:-
"Na waja wangu watakapokuuliza hakika yangu...
Siku zote ukitaka kwenda kuoa sehemu mchunguze mama mkwe ana nguvu hapo kwenye nyumba?
Akiwa yeye mwamuzi hapo umejitafutia balaa kwa mikono yako,,,!
Hapo uliteswa na mama mkwe mwenye Tamaa asiye na Akili
jambo jingine umepigwa bakora kuto msikiliza mama yako mzazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo ndiyo walipotufikisha mama zetu wa zama hizi,
KUWA MAKINI USHAFIKISHA MIAKA 28 HAPO JUA LISHAANZA KUZAMA UKICHEZA ZAIDI YA HAPO JIANDAE KUWA SINGO MAMA,,,
KAMA ANATAKA MWENYE PESA YEYE BABA YAKO ALIMKUTA ANAZO?
TUNAISHI ZAMA NGUMU SANA
Unaongelea uislam ao walimu wa madrasa?
Dini ya uislamu imekemea zinaa mwalimu wa madrasa akiteleza siyo uislam umemwamrisha,,
Istoshe hawezi mwalimu wa madrasa kukaa na mwanamke anamzini miaka mitano halafu ndiyo aoe,,
Uislamu ni mwepesi kwenye ndoa,,
Hayo ya kulawiti hayana msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.