Habari wanazengo mmeamkaje
Kijana wenu nimepata changamoto kidogo nimepoteza bahasha yangu yenye vyeti vyangu na kiukweli sijui nime misplace wapi bahasha ilikua na cheti cha form original ila nina result slip yake na cheti cha form six original na chet cha kuzaliwa original cha kuzaliwa sio...
Hapana bro me ninaenda mwezi wa 4 kama sio wa 5 sijakutana na mwanamke wala kujichua lakin nilikua napata wet dream mwanzani haswa ule mwezi wa kwanza lakn ninavokwambia ndan ya io miez nimepata wet dream haswa kwa kumbukumbu zangu ni mara mbili
Addition sikuwahi jua kama kuna hii challenge...
Suratul iklaas
1.Kwa jina la Mwenyezi Mungu,
Mwingi wa rehema, Mwingi wa ukarimu.
2. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni
Mmoja.
3. Mwenyezi Mungu Asiyehitaji,
Ambaye wote wanahitaji Kwake.
4. Hakuzaa wala Hakuzaliwa.
5. Wala Hana anayefanana naye hata
mmoja.
Hivi we unajua unachokiandika kweli na pia ninawasiwasi na kujua kingereza kingereza chako ujui kwanini Allah au God inawasilishwa na he na si she au nyie kwenye ukiristo Mungu hua anawakilishwa na she!? Such a shame
Hii sio kweli kwa maana umeagizwa na Mola wako kupitia mtume wake Mohammad S.A.W kua unapotaka kuoa ama kuolewa bhas usingatie mambo makuu manne ila la muhimu zaidi ni DINI sasa kama hifati ilo bhas jua kua sio mipango ya Mungu hapo kwa maana binadamu tumepewa akili na nafsi kwamba akili iongoze...
Assalam alleykum warahmatullah wabarakatuh za muda huu ndugu zangu katika Imaan
Naam mimi ni kijana wa miaka 27 inshaalah mwezi ujao naongeza umri pia ninaishi Daresalam, Tanzania nilikua ninauhitaji wa mchumba ambae atakuja kua mke mimi ni Muislam hivyo bhasi ningependa ningepata Muislamu...
Hey habari za muda huu wakuu kuna PC hapa inanisumbua yan imekua nzito hata apps azifanyi kazi ipasavyo alikua anatumia dada angu sasa nimekuja kugundua ni muda mrwfu window haijafanyiwa updation sasa kila nikijaribu hakuna kinachofanyika yan
Sasa nilivo connect nika update io window defender...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.