Naomba msaada wenu wakuu na wataalam wa JF.
Simu yangu ni tecno p3, sasa kila nikizifuta messages baada ya muda huwa zinarudi zote kana kwamba zijazifuta, na nimefanya hivi zaidi ya mara 10. Tafadhali sana wakuu na wataalam naomba mnisaidie.
Natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu.
Naomba msaada wenu Wakuu na Wataalam wa Simu za mkononi. Camera ya nyuma ya simu yangu Tecno P3 haifanyi kazi (haionyeshi hata kidogo) isipokuwa camera ya mbele tu ndio inayofanya kazi. Naomba mnisaidie Wakuu na Wataalam. Natanguliza Shukrani Za Dhati Kwa Msaada Wenu. Ahsante sana!
Ndio wakuu! Lengo langu na dhamira yangu ni kutaka kujifunza mobile phone repair & maintenance (software & hardware). Sasa wakuu ni wapi ambako naweza kupata mafunzo haya? Ahsante sana!
Nahitaji line ya TIGO-PESA. Kwa hiyo mtu yeyote mwenye line ya TIGO-PESA naomba awasiliane na mimi kupitia PM (PRIVATE MESSAGE), na kama itapatikana nahitaji kufahamu bei yake.
Mtoto mmoja alikuwa akiokota embe kwenye shamba la miembe la Mzee-Kijana. Mara yule Mzee-Kijana naye ghafla akaja kuliangalia shamba lake na kumkuta yule Mtoto akiokota embe kwenye shamba lake. Mzee-Kijana akamwambia yule Mtoto; leo iwe mwanzo na mwisho wa kuokota embe kwenye shamba langu. Yule...
Jamaa mmoja alipelekwa Mahakamani na ndugu zake kwa ajili ya "KULA KIAPO". Sasa muda wa "KULA KIAPO" ukawa unakaribia na yule akawa haonekani na ndugu zake wakaanza kumtafuta, na baadae kidogo akatokea. Ndugu zake wakaanza kumuuliza; mbona muda wa "KULA KIAPO" umeshapita, ulikuwa wapi? Akajibu...
Mmasai mmoja alikodi chumba Guest House, na mara tu alipoingia kwenye chumba alichokodi ili alale, akakuta kitanda kimeshachomekwa chandarua. Kesho yake asubuhi Mhudumu akaja na kuingia chumbani kwa Mmasai akamkuta amelala chini, ikabidi amuulize Mmasai mbona umelala chini? Mmasai akajibu...
Habari za leo.mashamba yapo ya bei nafuu kwa sehemu unazotaka.bei yake kuanzia milion 6 mwisho milion 5 kwa heka.wasiana nami'mch frank ndunguru-simu.0684934612.asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.