Recent content by Julius matete

  1. J

    Bashe ahojiwa BBC, apinga ujenzi wa Reli unaoipa kipaumbele Rwanda

    Tusiwe waogawaoga pale inapokuja mikakati ya kucapture wadau wa maendeleo ndani ya nchi yetu Hizi bandari zetu hazina maana yeyote km hatutaandaa mazingira ya kuzifanya kuwa bussy . Rwanda wako serous na suala la maendeleo ndio maana wanachungulia fursa kwa kuangazia kona zote Mnakumbuka...
  2. J

    Ijue Sheria ya Ardhi ya Tanzania ya mwaka 1999

    Kama miguna vile aliambiwa aende canada asa wewe raia huna uraia mwingine wowote utaondoka kwa mwelekeo upi?
  3. J

    Nani amewahi kula hii kitu?

    Hiyo mambo inapatikana Tarime kwa bibi
  4. J

    Ijue Sheria ya Ardhi ya Tanzania ya mwaka 1999

    Dah! Ila haijakaa sawa hiyo, tukipata rais mfitini asiowapenda wote out.
  5. J

    Freeman Mbowe: Zamani tuliona nchi hii ina udikteta uchwara, ila sasa ina udikteta kamili

    Mbowe hicho ni kidogo sn ukilinganisha na unayowafanyia wenzako huko chadema, hususan wale wanaojaribu kutaka kugombea uwenyekiti wa cdm
  6. J

    Freeman Mbowe: Zamani tuliona nchi hii ina udikteta uchwara, ila sasa ina udikteta kamili

    Tulitaka kiongozi wa dizain ya kagame, sasa mnalialia nini. Si mnaona hata kagame anapewa vyeo na marais wetu wa AU. Tulizidisha porojo acha pombe atuleweshe kwa hapa kazi. Wapiga deal wanatia huruma suruliali zimewalegeaje! Vitambi kwishney. Wanapiga mizinga hatariiii..., wazoea vya kunyonga...
  7. J

    Maoni yangu juu ya tukio la Askari Polisi dhidi ya Mwanajeshi katika benki fulani jijini Dar es Salaam

    Umeandika kama vile unamwelezea mhalifu kosa lake bila kufafanua ni nini kilitokea na kupelekea tatizo hilo. Siku nyingine unapoandika humu usichukulie km vile unawaelezea wahalifu namna ya kufuata taratibu. Hapa tunapeana taarifa na kuelimishana over
  8. J

    Bahima empire almost there...!!!

    Pierre ni mhutu sio mtusi ambao ndio wenye chain ya bahima, Afu ukiangalia kwa kias fulan wahima wamekuwa wakimtenga pierre. Jaribu kuangalia uhusiano wa pierre kwa kagame na m7 jibu liko wazi sio mshirika hata chembe
  9. J

    Bahima empire almost there...!!!

    Huu mjadala batili coz mtoa post kabugi
  10. J

    Nini tofauti ya Watanzania wa Mwanza na Watanzania wa Dar, Kimara?

    Wanatafuta visababu tu. Huwezi kuwasikia wakiwasemea dom kwa namna walivyo wabaguzi
  11. J

    Nini tofauti ya Watanzania wa Mwanza na Watanzania wa Dar, Kimara?

    Mnabwabwaja sana lkn ukanda ummeukumbatia ninyi, mbona kipunguni wanabomolewa waliokuwa wamelipwa km kimara na hatusikii hizo kelele zenu. Hamtaki kusikia neno zuri kuhusu mwz mishipa inawasimama, ni miaka mingapi mlikuwa mnajipendelea lkn wengine wamekaa kimya wakijua ni maendeleo ya watz wote...
  12. J

    Dar: nilichojifunza ni kuwa na roho mbaya, lakini nilishindwa.

    Mjini mipango kaka, ukute ktk mshahara wako umetenga nauli ya mwezi mzima na huna kipato kingine ni mpaka usubirie mshahara unaofuata asa kutoa hiyo 50 ni kuvuruga mipango Ni sawa na wewe hukutaka kuchenji 10,000 na wakati ni yako, nini kilikutuma kuomba huku ukiwa na pesa mfukon na huenda hao...
  13. J

    Kwa niwajuavyo Wazungu ukiona unahutubia halafu wanakupigia sana makofi jua wamekuona ni Genius mno

    JPM Yuko vizuri japo kuna mapungufu machache Tatizo anaongoza watu wavivu na wapenda mipasho Nimemsikia sgr dar to dom pesa ipo hata km mkandarasi akiiomba yote leo hii angepewa, big up magufuri chapa kazi
  14. J

    Madiwani watatu wa Mji wa Tunduma kutoka CHADEMA wahamia CCM

    Mbowe aachie ngazi, hivi waafrika tunanini! Katika mazingira kama haya ya watu kuhama chama, m/kiti anashindwa nini kujitathmini na kuchukua hatua za kukinusuru chama!
  15. J

    Tanzania and Kenya agree to end trade dispute

    Hiyo deficit mbona inapungua kwa kasi sana Ujue bidhaa nyingi ndogo ndogo za viwandani kwa sasa zinazalishwa hapahapa na hata ukienda supermaket za hapa dar unagundua uwepo wa bidhaa nyingi zinazo zalishwa nchini. Tumejipanga miaka kadhaa ijayo tutaongea lugha nyingine hapa hayo mamba ya...
Back
Top Bottom