mpenda usichoke na usikate tamaa,
jaribu kuwanae karibu,ongea naye kirafiki,uwe una mletea vizawadi
kumsogeza karibu na wewe,tokeni out za hapa na pale,mwonyeshee
kimapenzi zaidi na onyesha kunjali sana, kumweka karibu nawe chaoooooo
Rafiki yangu pole sana.
nakushauri umpe Yesu maisha yako, utajiepusha na mengi. hata sasa MUNGU amekusaidia.
karibu sana
By Peniel Machange - penielk@gimail.com.
kwakweli yule anaye subiria mpaka ndoa kama hawezi kuniridhisha inakuwaje tunavunja ndoa, ni heri anayefanya anajua kabisaaa bwana sisi tumeridhiana bila shida
Jamani kaka pole na matatizo,mimi naona kaa naye ongea naye kirafiki, muulize amechoshwa na nini?huduma zote anapata huwezi jua upande wa kitandani humfurahishi pia muombe mungu akusaidie swala hili watu wanaona dogo sana,lakini lina sumbua sana akili,,tumuombee atabadilika chaooooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.