Wadau mi ni mteja wa crdb kila nikipita naona mawakala wa fahari huduma,ila sijawahi kupata huduma yoyote kwa kupitia hao mawakala wa crdb,naomba uzoefu wenu kama kuna mtu alipata huduma kupitia hao mawakala kuhusu safety ya kubank kupitia kwao.
Wajamen hebu somen hiyo attachement ya kijana wa Rombo aliyeandika barua kwa FREEMASON ili awe tajiri na yupo tayari kutoa ndugu zake kafara na kawataja.(mods hebu iweke vizuri wadau waweze kuisoma vizuri)
Inatishaaaaa
Wadau jana nilikuwa kijiweni na jamaa zangu,wakati tunastorika as usual walipo vijana story kama sio siasa basi ni masuala ya mahusiano.
Jamaa mmoja akaja na wazo ambalo ilibidi ni think na kurethink more about it maana nimeona ni relevant sana kipindi hiki
Eti iwepo sheria ya kulinda...
MI ilishawahi kuntokea baada ya kutomjibu akanambia...we ni mzima kweli?mmmh ilinipain maana kikwetu hilo ni tusi tosha balaa zaidi lilitoka kwa mtoto wa form two.
Wadau mi ni mfuatiliaji mzuri wa nyota zinazotolewa magazetini na mara nyingi zimekuwa ni sahihi almost 80%.Leo nitoe ushuhuda ebwana nyota yangu mwishoni ilikuwa inasema utapatana na mpenzi wako mlio achana nikasema let me try one thing,wanajamvi kuna gf wangu tulizinguana kipindi tupo chuo...
duh kwa kujipendelea taratibu mnafanya mapinduzi....ukifanya yote hayo una tofauti gani na ----- what so special she will return nikimfanyia hayo yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.