Recent content by jujuluju

  1. J

    Jinsi ya Kudeal Na Mume Mwenye Michepuko Ukiondoa Option Ya Talaka. Siasa Za Ndoa Za Kisasa.

    Mawazo yako mazuri isipokuwa umeyasisilisha kwa lugha ya kihuni....wachache watakuelewa.
  2. J

    Hivi wakati wa kuoa kuna haja ya kuangalia uwezo wa familia ya unapooa?

    Watu wa mjini uchoyo unawasumbua. Kila kitu budget mbona nyie mkija vijijini hatuwanunii mnakaa tunawakarimu na kuwapa zawadi ya misosi bila hiyana! Sie tukija mnanuna... ukizingatia wengi wenu originality yenu ni bush... uchoyo tu ndio unawasumbua.
  3. J

    Muangalie muda wa kuwaacha wapenzi wenu

    Ukipigwa kibuti ujue unakasoro! Jirekebisheni kabla hujaangukiwa jumba bovu
  4. J

    Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

    Kila siku Lowasa... mwacheni mzee wa watu apumzike. Mbona wengine hawasemwi? Ama kweli mti wenye matunda ndio urushiwao mawe.
  5. J

    Wanawake na wanaume mlioolewa na kuoa tusaidieni kwa hili

    Umekulia kwenye familia ya malezi ...BIG UP. Je huna mdogo wako ambaye hajaolewa? Nijulishe tafadhali hata ng'ombe 50 nitajitoa mhanga.
  6. J

    Kete ya CCM urais 2015 naiona kwa Wasira

    The next presedent is prof. Mwandyosa pm is dr. Pombe...hutaki kaa chini.
  7. J

    Mh Zitto Kabwe wewe ni genius & very smart politician ever

    Ki ukweli Kigoma ni kiini cha mabadiliko ya nchi hii . Hawa vijana hata wakisimama bungeni lazima wavute tension za watu....guys we're saluting your efforts towards the change in our mother Tanzania.
  8. J

    Housegirl amtesa kinyama mtoto, arekodiwa kwa siri

    Huo ndio utofauti kati ya m'me na m'ke. M'me hata awe katili kiasi gani hawezi fanya unyama huo kwa malaika kama huyo. M'ke akiwa katili ni zaidi ya shetani. Fikiria mtu anabeba mimba miezi tisa kisha anazaa mtoto na kutupa chooni....huu ni ushetani wa hali ya juu ndio maana asilimia kubwa ya...
  9. J

    Hivi sisi watanzania ni binadamu original?

    Umeongea neno! Kagame alishasema......Hii ni zaidi ya uzuzu.
  10. J

    Asenga vs Upendo Peneza nani jembe?

    Hahaaa jamaaa anasema modern socialism....kweli ukibanwa unakuwa huna pakutokea unaibua vitu ambavyo havipo. Vijana tunapenda kujifanya wajuaji kumbe vilaza wa kutupwa. Upendo yuko juu sanaaaa
  11. J

    Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

    Hongera sana bw. Zito na kamati yako kwa kuyaweka wazi haya mambo...bigup bro. Vilevile nisikitike kwa baadhi ya wadau humu kuanza kuleta mizaha na kutaka kukukatisha tamaa...hilo lisikupe shida wazalendo wakweli tupo nanyi... Mnyonge mnyongeni lakini haki mnayostahili lazima tuwape...
  12. J

    Kuliko kuwa na mwanamke wa aina hii bora usioe, utajuta

    Faida ya mwanamke ni kukuzalia watoto ukiona hasomeki na anakukera usishindane naye chukua 50 zako
  13. J

    Mama ajifungua mtoto kisha amdumbukiza chooni

    Hivi hawa wanawake kwa nini wamekuwa makatili kiasi cha kupindukia? Hii ni zaidi ya ushetani kabisa. Juzijuzi tena tunasafiri na treni toka Dar kwenda Kigoma na mwanza, tulipofika mlima saranda tunajiandaa kuteremka Itigi, mama mmoja mwenye mtoto kamwomba msaada mama flani ambaye naye alikuwa na...
Back
Top Bottom