Recent content by JUGO

  1. J

    Kigoma: Auawa huku nyumba na magari yake kuchomwa moto akituhumiwa kuwa ni Freemason

    Mfano wa shetani ni kama huo ubongo wako ambao unakupa ujasili wa kuondoa uwepo wa Mungu
  2. J

    Hatimaye mwisho wa dunia umefika, usipuuze hii

    Kwani mpesa, tigo pesa, na wengineo kwa Africa, visa card, master cards na wengineo huko ulaya na America huwajui
  3. J

    Fursa ujenzi Wa Bomba la mafuta

    liweke mkuu au pm admin number
  4. J

    Fursa ujenzi Wa Bomba la mafuta

    ni wazo zuri kuna watu wanaitwa ATOGS wao wametengeneza blog kabisa na imezinduliwa tangu mwezi wa sita unalipia kiingilio milion 2 halafu wao wanasaka kila opportunities zitakazokuwa ndani ya OIL and gas lakini target ni bomba la mseveni then watakuwa wanashare na watu wanaruka nazo ila...
  5. J

    Wazee wa kujilipua kimaisha (risk takers) kwa style tofauti tukutane hapa!

    SIO KILA RISK TAKER ANAFANIKIWA MKUU, KUNA MTU ALIRISK AKACHUKUA KIASI KIKUBWA CHA HELA AKAENDA KUHONGA WATU ILI WAMCHAGUE MTU FLANI BAADAE APIGE HELA NYINGI KAMA AKIPITA LAKINI TANGU SIKU ILE MAMBO SI MAMBO, MARA HELA IMEKAMATWA KABLA YA KUGAWIWA ,MARA BIASHARA YAKE HII INA SHIDA..........LEO...
  6. J

    Kwanini wajumbe wa majadiliano na Barrick kutoka Tanzania imekuwa siri nzito?

    tundu lissu kichwa chake si kizuri mkuu angeitwa
  7. J

    Mkata, Kabuku, Hale, Handeni - Tanga: Rais Magufuli awanyang'anya ardhi JKT kwa kushindwa kuiendeleza ndani ya miaka 7

    hujui ulinenalo.......hizo technologia zinafika lini AFARICA na kwingineko? btw mwekezaji ni tz au UGANDA?
  8. J

    Udanganyifu wa shule binafsi matokeo kidato cha sita

    najua sana mkuu ila hii sio sababu ya kuwa wa mwisho kama wanafunzi wamejiandaa na kuandaliwa kufanya mtihani.anyway lengo langu kama mmoja wa wazazi na mdau wa elimu ni ushauri wangu shule kama inahitaji kufanya vizuri iandae mazingira ya kufanya vizuri na si vinginevyo maana tutazalisha kizazi...
  9. J

    Udanganyifu wa shule binafsi matokeo kidato cha sita

    WIVU TENA? WANAOFATILIA MAMBO YA ELIMU WANANIELEWA, KWA NINI SIJASEMA MARIAN? BTW MIMI SIMILIKI SHULE ILA NI MDAU WA ELIMU MKUU.
  10. J

    Udanganyifu wa shule binafsi matokeo kidato cha sita

    Udanganyifu shule binafsi ni mkubwa sana. Mama ndalichako kazi unayo tena kubwa. Haiwezekani shule iwe ya tatu kitaifa mwaka mmoja baadae iwe nafasi ya mwisho kabisa. Alliance girls mwaka 2016 kidato cha sita…nafasi ya 1 Kimkoa. Nafasi ya 3… kitaifa Alliance girls mwaka 2017 kidato cha sita...
  11. J

    Haya sasa hawa ndo ACACIA!

    Umeongea vizuri sana! Hawa ni wasio na akili na hawajui walifanyalo. Ni waganga njaa tu hata upinzani hawaujui ndo maana chama cha mapinduzi kitaendelea kuwapindua tuu Kwanza waoga...askari mwoga hawez vita Pili si wazalendo..mtu ambaye si mzalendo ukampa uwakala wa kusimamia kura ukimpa simu ya...
  12. J

    Kaini alivyomuua Habili alitokomea mbali huko alioa bint je alikua jamii gani naomba kujua

    Kama haya ni kweli basi sisi waafrica ni watoto wa Seth maana tupo nyuma kila kitu wakati wengine wako mbele sana
  13. J

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    una akili sana ambazo wengine hawana/hawajui......................... biashara inayomilikiwa na wanahisa ukiwa na kashifa kidogo unaweza kushangaa upo peke yako watu wameshakunyang'anya mtaji wote. maana wenyehisa wanaviziana na waendeshaji. ukinunua hisa za Vodacom leo ikiwa na thamani ya 1000...
  14. J

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Uko sahihi kabisa ndugu yangu Mungu atatusaidia, ipo siku wanafiki wa kiafrica wataisha na kitakuja kizazi cha kujitambua, ujinga wetu ndio umasikini wetu. Inaumiza sana ukiingia youtube ukaona dada zetu walioko uarabuni wanafanya kazi za ndani wanayofanyiwa utalia, ukiangalia wahindi...
  15. J

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    If you have nothing to do, it is better to keep quiet and watch the movie. Upinzani wa kisiasa doesn’t mean everything from other side is bad/wrong. What you fill in your brain today, will have either positive or negative impact in your future. Nchi gani za ulaya unaweza kukuta wazawa...
Back
Top Bottom