Inategemea umeajiliwa wapi,
Kituo cha mafuta, kampuni ya mhindu, mchina, unalipwa chini ya milioni, au UPO UN, umoja wa ulaya, mgodini,
Au, kampuni ya, kimataifa, unalipwa, kuanzia, 3M take home!
Tumefsnya,ajira mpaka tumestaafu,
Tuko kwenye kampuni na tunamriki ma kampuni nje, na...