Tunaposema serikali kwa TZ, na, Africa, in a maana tofauti na nchi kama USA, UK, Scandinavia, nk,
Huku kwetu, shit holes countries, serikali ni kikundi cha watu kinachotumia vyombo vya dola, kuua, kunyamazisha raia,ili kiendele kuiba,kwao kikundi hiki,wananchi wakiwa maskini, elimu duni,afya...