Recent content by JUAN MANUEL

  1. JUAN MANUEL

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    Hawatumiagi akili, hawa, hakuna maandalizi, ni kuchukua mafurushi ya mwaka Jana na kubeba tu! Hii nchi imejaa wezi, watu wa kuwaza kama ngombe, hakuna ubunifu, zama hizi za artificial intelligence, Internet of things, drones, wewe bado unaonyesha wana jeshi wanabeba matofari! Mambo ya power...
  2. JUAN MANUEL

    Huyu Mwanajeshi aliekuwa akihutubia leo si ndio yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Akili za ccm, ni kama bongo fleva, au, bongo muvi,ni sawa na harakati za vijana wa std 7,wakijaribu kutafuta namna ya kupiga chabo kwenye mtiani, hawa, kenge, wameishatudharau wanatuona kama vichaa wa, milembe
  3. JUAN MANUEL

    Polisi hawamtafuti tena aliyemuua Mushi, bali wanatafuta wanaosema Mushi ameuawa

    Bro robert hajauwawa, amekufa kwa kugongwa na gari, ajari ya kawaida tu, sasa hao kenge wa chadema, kwa kukurupuka kwao, wa kasema, polisi walimteka huyo kijana na kumuua! Shida IPO hapo, Na kwanini polisi waumie kwa kifo cha raia, tena kwa ajari! Hapo hata driver aliyemgonga, atatozwa faini ya...
  4. JUAN MANUEL

    Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

    Huko Bara, wakristo wengi, Ni kawaida, jaribu kupsnda boti za kwenda zenj, utajua ninachokwambia
  5. JUAN MANUEL

    Wakili anayedaiwa kuyatetwa Makampuni yanayokopa na kukwepa kulipa Mabilioni ajitetea

    Hana kosa, ndio mfumo wa dunia. Na ustaarabu unavyotaka, hata shetani akija Leo duniani, hawezi kufungwa moja kwa moja, lazima apewe wakili wa kumtetea
  6. JUAN MANUEL

    Majanga yanayoikumba Dunia, chanzo adhabu Toka Kwa Mungu, tugeuke na kutubu

    Acha mbwembwe! Sababu ni, za, kisayansi, tabia nchi, sio Mungu anaadhibu watu, kama Mungu ana hasira na watu wake, kwanini asiwaangamize mara moja tu kama zamani
  7. JUAN MANUEL

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Nchi Ina watu milioni 55! Unapima watu 200 wa mjini! Unasema kisukari kinatisha bongo!
  8. JUAN MANUEL

    Serikali iitishe kura ya maoni Wazanzibari waamue upya kama wanautaka muungano ili isionekane tunawalazimisha

    Hakuna Uhuru wa kugawa nchi! Wwchaga hawawezi kuamka kesho asubuh na kutaka kujitenga, kwa sababu yoyote ile! Hilo ni kosa la uhaini! Muungsno sio tatizo hata kidogo, tatizo ni siasa mbovu za ccm!
  9. JUAN MANUEL

    Mirathi ya Celebrities Bongo kizungumkuti

    Nilishangaa kuona msiba una agiwa kiwanja cha shule ya msingi! Hakuwa na nyumba aisee
  10. JUAN MANUEL

    Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

    Ngumu kumeza! Wamewaficha wapi! Kama Israel imeweza kuwatafuta viongozi wa Hamas, na kuwaua, itashindwaje kuwa na intelijensia kujua mateka walipo? Hii, ni, propaganda ty
  11. JUAN MANUEL

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Jina "Jina, la kikafiri"? You stupid fucker! Cock sucker
  12. JUAN MANUEL

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Mambo mengine unahitaji, ku fikiria kidogo, Leo hii zenj yote inawatu milioni tatu, Dar peke yake inawatu milioni 5! Bara yote ina watu milioni 50+! Sasa miaka 60 iliyopita, zenj ili kuwa na, watu wangapi?na watu hao wawe na uchumi mkubwa kuliko wananchi wa Bara! It's joke! Zenj iliwezaje kuwa...
  13. JUAN MANUEL

    Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

    Unajua hata wakati wa Mobutu, na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais, Maghu alikuwa mwizi, tu kama wezi wengine wa ccm,
  14. JUAN MANUEL

    Nimeaibika sana leo, nimejamba kikaoni mbele ya Binti nayempenda

    Na Hilo ni jambo lq kusikitika? Wewe upo chuoni, au boarding shule ya secondary!?
Back
Top Bottom