Hawatumiagi akili, hawa, hakuna maandalizi, ni kuchukua mafurushi ya mwaka Jana na kubeba tu!
Hii nchi imejaa wezi, watu wa kuwaza kama ngombe, hakuna ubunifu, zama hizi za artificial intelligence, Internet of things, drones, wewe bado unaonyesha wana jeshi wanabeba matofari! Mambo ya power...
Akili za ccm, ni kama bongo fleva, au, bongo muvi,ni sawa na harakati za vijana wa std 7,wakijaribu kutafuta namna ya kupiga chabo kwenye mtiani, hawa, kenge, wameishatudharau wanatuona kama vichaa wa, milembe
Bro robert hajauwawa, amekufa kwa kugongwa na gari, ajari ya kawaida tu, sasa hao kenge wa chadema, kwa kukurupuka kwao, wa kasema, polisi walimteka huyo kijana na kumuua! Shida IPO hapo,
Na kwanini polisi waumie kwa kifo cha raia, tena kwa ajari! Hapo hata driver aliyemgonga, atatozwa faini ya...
Hana kosa, ndio mfumo wa dunia. Na ustaarabu unavyotaka, hata shetani akija Leo duniani, hawezi kufungwa moja kwa moja, lazima apewe wakili wa kumtetea
Acha mbwembwe! Sababu ni, za, kisayansi, tabia nchi, sio Mungu anaadhibu watu, kama Mungu ana hasira na watu wake, kwanini asiwaangamize mara moja tu kama zamani
Hakuna Uhuru wa kugawa nchi! Wwchaga hawawezi kuamka kesho asubuh na kutaka kujitenga, kwa sababu yoyote ile! Hilo ni kosa la uhaini! Muungsno sio tatizo hata kidogo, tatizo ni siasa mbovu za ccm!
Ngumu kumeza! Wamewaficha wapi! Kama Israel imeweza kuwatafuta viongozi wa Hamas, na kuwaua, itashindwaje kuwa na intelijensia kujua mateka walipo? Hii, ni, propaganda ty
Mambo mengine unahitaji, ku fikiria kidogo, Leo hii zenj yote inawatu milioni tatu, Dar peke yake inawatu milioni 5! Bara yote ina watu milioni 50+! Sasa miaka 60 iliyopita, zenj ili kuwa na, watu wangapi?na watu hao wawe na uchumi mkubwa kuliko wananchi wa Bara! It's joke!
Zenj iliwezaje kuwa...
Unajua hata wakati wa Mobutu, na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi
Hata wakati wa, Mobutu na Idi Amin, watu walishinda uchaguzi! Na misifa kibao kwa rais,
Maghu alikuwa mwizi, tu kama wezi wengine wa ccm,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.