Recent content by JUAN MANUEL

  1. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Katika WA Afrika walioenda kupigana vita ya urusi na ukraine, hakuna mtz hata mmoja,!! Sio kwa bshati mbaya,vijana wa tz asilimia kubwa ni mazuzu! Wanawaza iphone 17,subaru, mpira,demu mkali, basi! Nimesikiliza mahojiano ya kijsna wa Kenya 31yrs, alikuwa officer wa jeshi Kenya, akaacha, akaenda...
  2. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Watanzania chuki zimezidi sasa mnashindwa hata kusema pole kwa rais wenu. Tumwombe Mungu atutoe hapa

    "Kufa ni kawaida tu, kila MTU atakufa"ni nikuu ya samia siku mzee Ali kibao alipotekwa na kuuwawa na death squad ya CCM.
  3. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Nikiona mtu kama Bashite ni Waziri halafu Lissu yuko jela, ni mfano mwingine kwa Waafrika hawajitambui

    Kaliptocracy "the worst in the society, are ruling" Tuna rais mjinga, hata kikao cha ukoo hawezi kuendesha, Leo mnamuweka awe Amir jeshi mkuu! Huwa nafatilia history ya Sylia, wakati Bashar Al asssad yupo madarakani, alipewa urais na baba yake, akatawala kwa mkono wa chuma, wapinzani, ama...
  4. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    Tunaposema serikali kwa TZ, na, Africa, in a maana tofauti na nchi kama USA, UK, Scandinavia, nk, Huku kwetu, shit holes countries, serikali ni kikundi cha watu kinachotumia vyombo vya dola, kuua, kunyamazisha raia,ili kiendele kuiba,kwao kikundi hiki,wananchi wakiwa maskini, elimu duni,afya...
  5. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    How do you know that! Mwisho wa dunia, hautakuwepo, so how do you know ccm will be there!? Hapo ulipo huna 30yrs mbele! Pathetic!
  6. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Nimeshuhudia masheikh wengi wakisema sasaivi haki haitakiwi ila amani ndio ya msingi

    Sasa, hv ni wakati wa waislam kula nchi, na, kubagaza wakristo kadri inavyowezekana, Sasa hv wazenj(wengi ni islam) wanaiumiza Tanganyika, wanaiba, balaa, kelele zikiwa nyingi za, wa Tanganyika, ccm itakuja na kadi ya udini,kama wanaoua ni wazenj waislam, wanaouliwa, ni wa Tanganyika wakristo...
  7. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku : CHADEMA Wanafadhiliwa na "Mabeberu "

    "Mabeberu ni kina na ni? Hao Hao wanaofundisha jeshi lenu? Kuwa pa, misaada ya afya!? Chadema wanapewa pesa na, wazungu, America, UK, ulaya, sawa, serikali ya, ccm inapokea misaada ya fedha, kutoka US, UK, ulaya! So what is this, pesa ikitoka kwa, mzungu kwenda kwa, chadema ni mbaya, ila...
  8. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mabalozi wameshuhudia uzuri wa Katiba yetu, tunaweza kubadili nafasi kubwa bila misukosuko

    Some times, I wonder what goes on in her brain!, it's mind boggling how ones believes here own stupidity! Ccm hawaendeshi nchi kwa, katiba,ni criminal state, kikundi cha watu, kinafanya kinavyotaka! I think the only language this "stain in humanity" Can understand, ni barrel of a gun
  9. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dr. Mbuyiseni: Inakuwaje Rais wa Tanzania kuketi na wakuu wa nchi za SADC wakati ni zao la uchaguzi usio halali uliosababisha vifo?

    Tuna rais kilaza haijawahi kutokea, Akiongea utafikiri madanga mawili ya kule tandale yanachambana, Jitu limejaa kbri, kisa limezungukwa na walinzi,
  10. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Kwenye gari 15 basi gari 10 hadi 15 zinaendeshwa na wanawake. Wanaume mnakwama wapi?

    Vitu vidogo sana hivyo,hakuna mwanamke anasimama kiuchumi bila msaada wa, madume, hata Hao single maza, wanaojitapa mitandaoni, eti wana ndinga za milioni 700!, ni mapozeo ya watu tu!
  11. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua kuwa Chokochoko dhidi ya Israel kutoka mataifa ya Kiislam ni Quran angalia anachotaka kukianzisha Uturuki

    Africa, huwa hatuna akili, hata jambazi ghadafi, alipewa kazi ya, kujenga msikiti pale Dodoma na Mkapa
  12. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Kelele tu hizi, tafuteni sababu kwa nini abilia hawapendi kupandia Maghufuri, Pale pana kelo balaa, ukifika tu unazungukwa na ma dalali kibao, kila mmoja anakupigia kelele njoo huku njoo huku, ma dalali wasio, rasmi kibao, vibaka kibao, kwa nini pasiwe na utaratibu kama Airport, hakuna ma...
  13. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Anashangaa vipi! Kwani hajuhi kinachoendelea, ccm ni criminal state, Bora ukutane na vibaka wa kawe, tandale, Wapiga nondo wa Area A Dodoma, chadulu, kuliko kukutana na polisi au, wanajeshi, Vyombo vya dola vimekuwa ni majambazi yenye haki ya kuua!
  14. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Amjibu Heche "Uongozi wa nchi sio uji kwamba kila mtu anataka apewa kuonja"

    Ccm hawajapewa tu kuonja, hata kadi ya, mwaliko hawakupewa, wakavamia, wakachukua Kinabalu, wamekula, wamevimbiwa, wanajamba Jamba,
  15. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Hivi huyo Allah ndio Jehova? Mungu, Almighty God? Maana anasifa tofauti na God tunayemjua! Huyo allah alipotaka kuleta ujumbe wake kwa wanadamu, akachagua mtu mjinga(Mohammed PBUH, hakujua kusoma wala kuandika) kuleta ujumbe, alipokuwa na mashaka,Mke wake, ambae ingekuwa Leo, ni mshangazi...
Back
Top Bottom