Bro umewahi kufika karagwe,Ngara, Tunduma, Mtambaswala,?
Masai wapo TZ na, Kenya, ila sio shida, Wajaruo wapo TZ na Kenya, sio shida,
Tunduma pale, wtz na wa Zambia huwezi kuwatofsutisha, wote wanapiga kiwembwa, ila sio shida,
Sasa kenge waone muhaya, au mnyambo wa karagwe, pua nyembamba...