Recent content by JUAN MANUEL

  1. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Kama tumeamua kuwa na Yesu kweli,basi tuachane na dawa za hospitali na isiwe mitishamba tu.

    Tuanze na Hao mnowaita "wachungaji" Kwanza wengi ama walikuwa ma MC, motivation speakers, hawakupata kitu, wakaona kwenye dini, ndio kuzuri wajinga wengi, hawa "wachungaji" Wanakuwa, na, maneno meengi, ni kama vile watengeneza content tu ili kupata pesa, Mtu anasema"alipuliza, mtungi wa hesitate...
  2. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya muda mfupi, Zanzibar imetajirika ghafla ila Tanganyika chaliii

    Mkuu, zenj inawatu milioni tano tu Bara tupo milioni 60! Zenj inaingia mara tano katika mkoa wa Kagera!
  3. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji usiweke kwenye biashara ya Frame/maduka, fanya hivi

    Mkuu ume dadavua kila kitu kinachohitajika kumaliza shida za ajira, nchi hii, Kwa, maneno mafupi sana
  4. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Bro umewahi kufika karagwe,Ngara, Tunduma, Mtambaswala,? Masai wapo TZ na, Kenya, ila sio shida, Wajaruo wapo TZ na Kenya, sio shida, Tunduma pale, wtz na wa Zambia huwezi kuwatofsutisha, wote wanapiga kiwembwa, ila sio shida, Sasa kenge waone muhaya, au mnyambo wa karagwe, pua nyembamba...
  5. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Cambodia yaagiza Waafrika wote wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026

    Watu hawachukiani, ni Vita ya, rasilimali na fulsa, Kwenye hv vijiwe vya bodaboda, kama sio member wa kijiwe, huruhusiwi kupakia abilia hapo, wala kupaki, mantiki IPO, mkiwa wengi, foleni ya kupakia abiria inakuwa ndefu, ni uchumi tu, sasa hebu fikiria vijana milioni tano,kutoka Kenya, Rwanda...
  6. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Tanzania iko salama chini ya CCM

    Fucking shit, nchi inakuaje salama wakati watu wenye "akili Sana" Walimpiga risasi lisu, wanaendelea kuteka, na kuua, na vyombo vya dola havina uwezo wa kuwakamata vimebaki kama mbwa Koko, au kenge maji asie na malinda
  7. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Awamu ya 5 kuna Kiongozi mkosoaji alishambuliwa ilionekane ni Serikali

    Mbinu za kawaida hizi, "Brame the victim" Hatua ya pili watu wakiishaanza kuamini, unatuma polisi wamkamate victim kwa makosa
  8. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Nini kilimpata balozi Humpley Polepole?

    Alichagua kukosoa zimwi aliloshiriki kuliunda, likamtafuna, Kakosoa utwaala,ukamteka period
  9. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo hayati JPM asingeruhusu waziri wake aaende Bungeni na mkoba wa mil 14 hata kama ni mkwe wake

    JPM alikuwa, jambazi, fisadi, jizi kama mengine tu, mabalaa yote ya wasiojulikana yalipandwa na JPM, na, kusimamiwa, state sponsored assassination and terror, ilishika hatamu, kile kitendo cha jaribio la mauaji ya kiongozi wa upinzani, ili kuwa point of no return, uta wala wa, samia, wanatumia...
  10. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania KERO Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya G4S COMPANY LTD tunapitia magumu, hakuna likizo. Uniform zetu zimechoka

    Gardaworld ni iliyokuwa KK security, Ni ya kutoka Quebec Canada, G4s ni UK
  11. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu ni kubwa kuliko mwekezaji yeyote yule

    Ni ukubwa, wa wa eneo tu! Hata kwa eneo sie sio wakubwa kiiihivyo, Ukubwa, unaitakiwa ni ukubwa, wa mawazo,maono, vision, na ukubwa huo unakuja kwa kuweka "the best and abled people on decision positions" Sasa, njoo bongo, waziri wa kazi, kilaza,kasoma online elimu wala hazieleweki, Unampa...
  12. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania CAG mstaafu, Ludovick Utouh: Wengi wanapinga miradi ya Ubia kwa sababu inaziba mianya ya upigaji

    Ni sawa tu, nchi si inaendeshwa kishikaji! Wajinga, wenye elimu za kufoji ndio wanafanya maamuzi, Wacha wapige tu, maana wasipopiga, mahekalu ya Goba,mbweni, kisasa, itega Dom, yatatoka wapi, Rais mwizi, IgP mwizi, CDF mwizi, jaji mkuu mwizi, spika mwizi, haki ya na ni wabongo hakuna pa kutokea...
  13. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Hv kenge wa ccm huwa wanajiona kama Putin vile? Unamvimbia anayskulisha!! Natamani "wakristo" Wamuwaahie moto Yule kenge,
  14. JUAN MANUEL

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    Ur a, stain in humanity, Kwa, akili ya kawaida ya darasa la pili,ukiona watu wamejipanga barabarani wana matawi ya miti, vitambaa wana mshangilia, Kagame, Sadam Hussein, Jiwe, Mobutu, Unaweza kusema kweli Hao viongozi ni wazuri kisa tu wana nchi wanashangilia!?? Waandamanaji walitoka wapi...
Back
Top Bottom