Recent content by juan david

  1. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kocha wa connection😂😂 Hii inaendeshwa kama team za kariakoo
  2. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Narudi tena kusema kumfukuza Maresca na kumleta kocha aliye chini yake kiuwezo ni kosa kubwa. Matatizo ya hii hii yanajulikana ila kwakiwa wale masporting director wako pale na wamiliki wanaendelea kuziba maskio acha tuendelee kuisoma namba. Huwez spend zaidi ya 1+BN kwenye usajili na bado...
  3. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    😂😂😂 maresca out hongereni sana
  4. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Vipi kuhusu Eghbal aliyeongea na RDX summer???
  5. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nilisema hapa wanaofurahia Maresca kuondoka wanahisi labda kocha atakaekuja atakuwa mzuri kumbe ndio kwanza kama tunqrudi nyuma. Serious sahiv hii team ishakuwa kama ya majaribio. Next 2 yrs sitoshangaa wakina Palmer, wakiondoka
  6. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hamna kocha hapa
  7. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    RDZ hawez kuja huyu,Hawezi kubali kuendeshwa na wale SD Fab ni ngumu kuja,
  8. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    mnaofurahia maresca kuondoka mnahisi kocha gani hawa wapuuzi mzuri anaweza kuja zaidi ya kuletewa yule kibaraka wa Strasbourg
  9. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    wakiendelea hawa hawa Sporting Director tuseme kwamba sisi na mafanikip bye bye. Sahiv tunaongozwa vibaya mno,Sijawah ona wajinga wanaorudia same mistake kila mda bila na wenyewe kujiangalia. Wasipobadilika tutaendelea kutia aibu mpka basi
  10. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwa hali inavyoendelea naona huu ndio msim wa mwisho wa Maresca kama kocha wetu. Au huenda hata Jan asiimalize, Naona vita imekuwa kubwa sana.
  11. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo...
  12. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii team kwa sasa shida ni wamiliki na wale sporting director huwez invest 1.5BN halaf useme unajenga team now ishavuka misim 4 na bado hatuonekani kama tuko tayar kugombania hata ubingwa hiyo top 4 yenyewe tunaitafuta kwa mbinde Kumtoa jackson na kumleta Delap ni kama tumepiga hatua kumi...
  13. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wamiliki nao hamna kitu kichwani hence hatuwez pata watu wanaojielewa kwa sababu yao sitoshangaa Maresca akiondoka Msim huu Unaspend 1BN kwenye usajil then team bado inamapengo km yote hutaki kocha aulize sajil
  14. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Maresca anaweza kuwa na matatzo yake ila tatizo kuu kwa sasa ni hawa SD Huwez spend 1+BN na bado team inaonekana inamatobo kila sehem,Dirisha lilipita lilikuwa la kuboresha badala yake ndio tumeregress. Unaspend 90M kwa winga ya Gittens na Garnacho ni ujinga wa hali ya juu kabla ya Maresca...
  15. juan david

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Akijichanganya kidogo Decemver afiki game zetu 4 zijqzo zitadefine msim wetu huu Lincoln,brighton,Benfica Liverpool,
Back
Top Bottom