Kocha wangapi huyu? Hata ukimleta Pep kwa mchezaj kama Neto,Garnacho,Delap,Badiashile etc utegemee maajabu haiwezekani
Mwanzon kabisa Maresca alidemand Beki wakamlia buyu, kama unauza Jackson,Madueke ambao tayari ni kama msingi ulikuwa ushawekwa then unawaleta Garnacho na Gitten,Delap hapo...