Recent content by JSJC

  1. J

    The committee of 300

    Hawatakuelewa ni ngumu mtumishi 1kor 2:11-16. Zaidi sana sana utaishia kuraruriwa Mt 7:6
  2. J

    Hivi ni kwanini Watanzania ni waoga kufanya manunuzi Mtandaoni?

    Nilitaka kununua kupitia IndiaMart in wasumbufu nikaachana nao, nikaagiza kupitia Alibaba niliupata mzigo ila bei niliyopewa ilitofautiana na iliyokuwa kwenye tangazo ilikuwa juu kidogo
  3. J

    Tamko la Kanisa la Morovian

    Askofu yuko sahihi, Kanisa limepewa kibali cha kuomba kwa MUNGU aingilie kati na kuiponya nchi, 2 Nya 7:14. Tatizo ni mtumishi yupi anaemheshimu anaona uchungu asimame amwambie MUNGU yatosha hapa tulipofika. Maana anasema anaheshimu watumishi wake.
  4. J

    Was Jesus Black?

    Mleta mada yuko sahihi kabisa
Back
Top Bottom