Recent content by JPN

  1. JPN

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mimi toka nimeripoti kuhusu Swala la Nguzo mbovu toka 02/11/2018 kwa TB 0172 MBEZI KIMARA...Walifika nakuona tatizo na hadi Leo hakuna chochote kilichofanyika..Ninyi kweli mnajua mnachokifanya au ndiyo hadi zianguke.. Napatikana Mbezi 0713455895 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. JPN

    Bishop Zachary Kakobe: Mimi si CCM wala CHADEMA, sina kati ya chama cha Siasa hata Kimoja

    Anazungumzia juu ya kwanini anaenda kwenye Mialiko ya Kiserekali.. Ameaanza kuzungumza kwamba kanisa Hili LA FGBF siyo la Chama cha CHADEMA wala CCM wala chama chochote kingine.... Ndiyo anaendelea kuzungumza juu ya kwanini anaenda kwenye Mialiko... Na kanisa Hili siyo CHADEMA wala CCM wala...
  3. JPN

    Uhamiaji waenda kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Kakobe kijijini kwake, wazee mashuhuri kijijini wathibitisha uraia wake

    Huyu ni RAIA wa Tanzania Bishop ZACHARY KAKOBE Sent using Jamii Forums mobile app
  4. JPN

    KAKOBE kapatwa na kitu gani? Nimemsikiliza leo, nimeishia kusikitikia waumini wake

    Jambo la kufahamu Mtumishi wa Mungu yeye in Mpatanishi lazima awe pande zote na kuzungumza Ukweli sasa kwa Nchi hawezi kuka Baraka zozote mpaka pale watu wote watakapokuwa wamepayanishwa hata ninyi nanyi mnapaswa mpatanishe na Mungu kwa kupitia kwa Mtumishi wa Mungu. Kwahiyo unaposema humwelewi...
  5. JPN

    Tanzania ni nchi ya ajabu sana!!! Dah

    Janga la Taifa
  6. JPN

    Arusha: Mwandishi wa habari atekwa ateswa kisha kupigwa picha za uchi

    Poleni na Mungu akuponye majeraha yote... Amen !!!!!!
  7. JPN

    Kesi ya Sugu: Mabishano makali yaibuka mahakamani juu ya ushahidi

    Hii ndiyo kazi ya kutengeneza Uchumi wa Viwanda vyajegwa kamata kamata..
  8. JPN

    Kwani hakuna uwezekano wa kufanya hivi wakitaka kujenga Fly Over?

    Mmmmmmmmmm yetu twasikia na kuona ila maendelea bado sana afrika hususani Tanzanian
Back
Top Bottom