Mimi toka nimeripoti kuhusu Swala la Nguzo mbovu toka 02/11/2018 kwa TB 0172 MBEZI KIMARA...Walifika nakuona tatizo na hadi Leo hakuna chochote kilichofanyika..Ninyi kweli mnajua mnachokifanya au ndiyo hadi zianguke.. Napatikana Mbezi 0713455895
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazungumzia juu ya kwanini anaenda kwenye Mialiko ya Kiserekali.. Ameaanza kuzungumza kwamba kanisa Hili LA FGBF siyo la Chama cha CHADEMA wala CCM wala chama chochote kingine.... Ndiyo anaendelea kuzungumza
juu ya kwanini anaenda kwenye Mialiko... Na kanisa Hili siyo CHADEMA wala CCM wala...
Jambo la kufahamu Mtumishi wa Mungu yeye in Mpatanishi lazima awe pande zote na kuzungumza Ukweli sasa kwa Nchi hawezi kuka Baraka zozote mpaka pale watu wote watakapokuwa wamepayanishwa hata ninyi nanyi mnapaswa mpatanishe na Mungu kwa kupitia kwa Mtumishi wa Mungu. Kwahiyo unaposema humwelewi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.