Recent content by jpaul

  1. J

    Ubaguzi na unyanyasaji kazini

    je, na wahindi nao mnawaweka kunddi gani ????????, watanzania atuendelei kwasababu wawekezaji wengi ni wahindi harafu ndio wanyanyasaji na wabaguzi wazuri.ebuu fikiria muhindi analipwa kwa dolla harafu wewe mtanzania unalipwa kwa shilling isitoshe taaruma uliyonayo mhindi hana. just imagine...
  2. J

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    kwanza asante kwa taarifa hii, lakini ndungu ebu tuchambulie hizo safari katika magroup, safari za kikazi ni ngapi ??, safari za binafsi ni ngapi ??? . pia hata wewe tupe historia ya safari zako ni ngapi tangia uhitimu miaka 18 mpaka leo hii ??? kwanii usiongelee historia yako ??? instead...
  3. J

    Haki ipo wapi na serikali inafanya nini ?

    mume soma hiyo hapo chini !!!!!!!!!!!!!!!!![:peep:
  4. J

    Staff bus

    hivi magari yalio andikwa STAFF BUS kwa ajiri ya wafanyakazi yanalipiwa kodii !!! au hapana !!!, je kwanini wafanyakazi wanatozwa NAULI .:car:
  5. J

    Kikwete amenitukana....

    hii yote ni kwasababu watanzania tunauoga wa maisha!! inawzekana hata kura haukupiga na ndio maana unalalamika chaoooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:peace:
  6. J

    Understanding your child's smartness

    thanks mkuu kwa huu ujumbe uko kamili kwenye mzani
  7. J

    Ombi la TANESCO.

    Dooo !!!!!!! kweli hii ndo miaka 50 ya uhuru.TUMETHUBUTU,TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE !!!!!
  8. J

    Haki ipo wapi na serikali inafanya nini ?

    naomba maoni yenu!!! kuna kampuni maarufu kwa uzalishaji wa vyandarua mkoni arusha, kampuni hiyo inawalipisha nyumba za kuishi wafanyakazi wake kwa gharama ambayo haifai hata kidogo.gharama ya hizo nyumba ni kama ifuatavyo;double room ni sh laki moja na sabini (170,000/=),single room shilingi...
  9. J

    Habari

    naomba maoni yenu!!! kuna kampuni maarufu kwa uzalishaji wa vyandarua mkoni arusha, kampuni hiyo inawalipisha nyumba za kuishi wafanyakazi wake kwa gharama ambayo haifai hata kidogo.gharama ya hizo nyumba ni kama ifuatavyo;double room ni sh laki moja na sabini (170,000/=),single room shilingi...
  10. J

    Habari

    hay wana jf wote!!!:nerd::nerd:. mimi ni mgeni na ndo mara yangu ya kwanza lakini sina kamba mguuni
Back
Top Bottom