Jitahidi ujue unataka nyumba ya namna gani kwanza, lakini pia fikiria kuhusu bei za gharama za vifaa vya ujenzi
Gawa ujenzi wako kwa awamu,
Sababu umejua gharama za vifaa nini kinahitajika wakati gani itakupa picha kamili kwamba awamu hii ninafanya hiki. Awamu hii nitafanya kile.
Ujenzi ni...
Tatizo ujuaji mwingi sana humu, when one ask Kuna reason behind. Issue ilikua simple tu kuignore au kujibu swali.
Unafikiri siku Consider kutick all the boxes kabla sijauliza.
Fatilia vizuri uzi usikurupuke bwana mdogo
Siishi Tanzania mzee bei zimebadirika last time nilikua huko, naplan kuja this may mwishoni. Nikiuliza maana ake najiridhisha kuwa nikichoambiwa ni sawa
Habari wadau kwema? been a while nimekua msomaji tu humu ila leo nimeona nitafute msaada wa kiuzoefu huko nyumbani
Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei za vifaa kwa sasa maana karibu nije kumaliza kakibanda kangu ka kuunga unga na sasa hizi bei zilivyo...
Sababu zipo nyingi but kuu ni hizi
Viwanja vimepimwa na bei ya viwanja vilivyopimwa kila mtu anaijua.
Watu wanaotaka kununua viwanja vilivyopimwa ni watu wenye kutaka kuishi mitaa iliyo staarabika. Hakuna kuuziana chapati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.