Recent content by jozee2

  1. J

    Arusha: Wakili Fatma Karume achaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)

    Natamani nchi nzima tungekuwa mawakili, ,they are so objective
  2. J

    Kama ningepata fursa ya kufanya interview na David Kafulila ningemuuliza maswali haya 5 tu then nifunge kipindi..

    More questions to kafulila 1.Anajua kwamba kazi ya upinzani n kusimamia serikali,kuikosoa inapokoseaa, kuishauri katika mipango ya maendeleo,kuibua ufisadi kama,lugumi,mikataba ya madini,escrow,Richmond, epa, with evidences Mr kafulila nambie kazi zote hapo juuu,zipi upinzani hazifanyiki...
  3. J

    Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

    Mm na nawashauri cloudz waanzie sokoni kwanza,, Kinchowatafuna n kuisapoti ccm na serikali yake Wanashindwa ata kukosoa serikali inapokoseaa Sasa huyu mliemfanya kama ndugu na rafiki katika business atawasumbua sana kwan nae anawafasi wake sokoni
  4. J

    Serikali kupitia TCRA yaipiga Clouds FM faini Sh. Milioni 12 kwa ukiukwaji wa Maadili ya Habari

    Cloudz inabidi sasa na wao waanzie sokoni, ,something wrong in the market
  5. J

    Mwanasheria:Wawekezaji wanaruhusiwa kufanya uchimbaji wa madini kadri wanavyoona inafaa

    kwan kwan rais Kwan JPM kasema anavunja mikataba? Mbona kama mnabadilisha lengo la ripoti
  6. J

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    JPM hajaonvhea lolote juu ya mikataba his major concern ni misrepresentation ya contents ya madini ndani ya michana jamani? Je, hyo mikataba ambayo n bogus na hamjawai kuiona najua,inaruhusu investors kufanya misrepresentation yoyote ya information ambayo n base ya other part kufanya decisions...
  7. J

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    mbona mbona kama Aliens alivyo huyu mtu
  8. J

    Ni rasmi sasa sakata la mchanga litatugharimu

    kwani hyo mikataba tuliyosaini inaruhusu hawa wawekezaji wasitangaze the true value ya contents na financials zake zilizokuwepo katika michanga? Mbona kama vile mnaisemea mikataba msi wai kuiona ata siku moja wazee
  9. J

    Rais Magufuli, mwishoni mwa sakata la "mchanga" tutawahitaji Kikwete na Mkapa

    TMAA hawa n wa kufilisiwa kabisa,,wizi mtupu...ccm kuweni makini aisee mnatuuza sana
  10. J

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Kwahyo unataka tusibadilike,kwa hiyo tuache wizi uendelee,wewe unatka Rais afanyaje na huu wizi? So you dont want changes? Jamani mnataka nn mbona hatuwaelewi wa bongo?
  11. J

    Je, ya Aboud Jumbe yamejirudia?

    We need our Kanali back
  12. J

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Mbona unachanganya madawa na kutumia cheti cha mtu mwingine kupata sifa ya kusoma elimu za juuuu......
Back
Top Bottom