Nimezunguka baadhi ya mikoa Tanzania kama vile Dar, Iringa, Mbeya, Morogoro, Lindi ,Kilimanjaro na Pwani lakini kuna Nkoa unaitwa Ntwara daaaaa😃😃
Watu wa mkoa wa Ntwara ni wazuri sana mdomoni yaani kitaalamu (win-win agreement) hasa unapopanga naye jambo la tija au ustawi wenu...
😁😁 Sasa...