Recent content by jozaigon

  1. J

    JamiiForums Tanzania Lema ni Mwanasiasa wa Kawaida, Ila Chuki ya Watawala Imemfanya awe Shujaa

    Umesema vyema
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mama Ongea na Mwanao kumjibu Steve Nyerere

    Yanayoendelea nchi hii unaweza cheka mwenyewe kimya kimya,,press conference ndo habari ya mjini,eti hadi yule mama sepenga anakua na sauti nchi hii,,,wonders will never end in this country.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Raia Tanzania: Mume wa Makamu wa Rais ni nani? Wa watangulizi wake wanajulikana

    This countree bwaana (sauti ya kihaya)
  4. J

    JamiiForums Tanzania Vipigo vya Machinga Mwanza ni kama kwa Makaburu

    Hatari sana,cjui wanapata maagizo wapi labda ile kauli ya mkuru
  5. J

    JamiiForums Tanzania Idara ya Uhamiaji iache kutumika kisiasa kwenye suala la Manji

    Hii nchi ngumu sana,hawa uhamiaji walikua wapi siku zote
  6. J

    JamiiForums Tanzania Watanzania wote tukiwa maskini itatusaidia nini?

    Mida mengine unaweza juta kwanini upo nchi hii yaani kila kitu ni kukurupuka matajiri ni watu umuhimu ila unapowapa wakati mgumu ujue zaidi ya watanzania 15000 unahatarisha maisha yao fikiria kama mtu ameajiri watu 5000 na anafamilia ya watu zaidi ya wawili.Baadae tutakuja kuona madhara yake not...
  7. J

    JamiiForums Tanzania KISUTU: Yaliyojiri kesi ya Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio. Shahidi wa Jamhuri aweweseka

    Hahahahaha kujua sheria raha sana
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwako Ansbert Ngurumo: Mwisho wa zama

    Ongeza bia nyingine nakuja kulipa,well said
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wanaorusha Video YouTube, Facebook, Periscope n.k Wawe na Leseni Ati?

    Watu wanakua wabunifu kuendesha maisha na kupitia hiyo Huduma watu wengine wanapata ajira but jamaa hawaoni hicho kitu ni matamko tu kwa kwenda mbele
  10. J

    JamiiForums Tanzania Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Nchi ngumu sana
  11. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aokoa Bilioni 900 kwa kuzuia safari za nje

    Hivi uko nje walikua wanajipeleka au wanahalikwa na hizo hesabu wanazipataje au zinakuwa zishapangwa kutokana na safari
  12. J

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatoa tamko baada ya Mbowe kutajwa katika listi ya Makonda

    Kutengeneza tittle kunachukua miaka na miaka lakini kuhiaribu ni dakika moja tu,naona siasa imeingia katika hili ishu
  13. J

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya kidato cha nne yanatoka lini?

    Ukipata ziro unaenda jela miaka miwili,so yamecheleweshwa makusudi wote mlopata 0 tunawapangia magereza wakati walofaulu tunawapngia shule za kwenda:mad::):)
Back
Top Bottom