Habarini za jioni,
Kama wewe ni mtumiaji wa machine ya EFD nauza paper rolls na ninakuletea mpaka dukani/ofisini kwako.
Delivery ni bureeee kabisa.
Karibuni wapendwa no za simu 0767819395
habari za jioni,
ninaimani mu wazima na mmeaheherekea eid vizuri,
wadau naomba mnifahamishe gharama ya frame za biashara kariakoo au sehemu karibu na kariakoo.
hapa inabidi tuongelee pande zote mbili.
nyie wanaume:mnasahau majukumu yenu,mashindwa kuwatreat wake zenu kama inavyotakiwa ndio maana wanagongwa hovyo.
wanawake:tuache tamaa,na vile vile tuache kulinganisha....mara ooooh mume wangu hana six pack,mara oooohh mume wangu si handsome,mara oooohh...
punguza jazba ndugu yangu......kupiga si solution ya tatizo,tulia na utafute njia nyingine ya kutatua hilo,kwani akikutaja kwenye maombi we inakukwaza nini??au una mapepo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.