Recent content by jouneGwalu

  1. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Ulikuwa mkenge tu aisee 😂😂😂 Japo lengo kuu la kuleta Uzi ni kutoa tahadhari zaidi ili wengine yasije wakuta kama yaliyonikuta! Na Mimi huenda ningeona tahadhari kama hii ningepona!!
  2. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Sawa boss Upo sahihi na umeshinda!!
  3. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    K Ukiwa umetokea baadhi ya mazingira huwezi ukaelewa upande mwingine wa mazingira ya watu wengine... Yule mke wa mfalme wa ufaransa alishangaa watu kukosa mkate akawaambia "si mle keki" 😂😂😂 Kwake alikuwa anaona watu wote wana hali kama yake tu!!
  4. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Nadhani kuna vitu haupo kwenye namna unaweza kuelewa!! Ila maisha sio straight line kama baadhi yenu mlivyojaliwa!!
  5. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Yes Kila kitu kigeni kinakuja na aina ya hofu ya mwanzoni, hiyo ni hali ya kawaida kwenye mambo mengi tu!! Ili uende huko ubalozi kuna vitu lazima uwe navyo, Sasa hivyo vitu ndio kwenye baadhi ya mazingira unajikuta unahitaji msaada ili uvipate; vitu kama Invitation letter (kama ni mualiko...
  6. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Kama content creator anaeleza kuwa anaandaa safari utaacha vipi kwenda kwake? Yes visa unaomba ubalozi, Hilo sio tatizo hata!! Tatizo unapoomba visa kwenye portal ya nchi husika Kuna vitu vingi vya kuambatanisho mfano mualiko wa mkutano au mualiko wa kawaida; Hivyo vitu kwenye mazingira ya...
  7. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Hata tukibaki sisi bado watakuja wapopo, Wakenya na sasa waarabu... So bora mtusaidie waswahili wenzenu tu tutaonbana hata chumvi!!
  8. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Nilichelewa kusanuka aisee! Jamaa ni muhuni sana 🚮🚮 Niliingia kichwa-kichwa!! Nimepoteza hela mingi aisee!!
  9. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini: Wapanga safari wengi hasa walio nje ya nchi sio waaminiffu

    Kumekuwa na trend ya watu tunaoweza kusema ni content creators ambao wapo nje ya nchi wanatoa post/content mbali mbali kuhusiana na maisha ya ughaibuni. Wengi wanazungumza umuhimu wa kujaribu fursa kwenye nchi zilizoendelea zaidi mfano wa nchi za ulimwengu wa Kwanza! Binafsi nilikuwa Mpenzi wa...
  10. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Nilitamani kuyajua haya - Ajira Mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere (Part - III)

    Natamani nakatishe nimalize!! Ila kuna details nashindwa kufupisha, maana itaondoa maana ya kisa. Tuvumiliane tu tunaelekea kumaliza.
  11. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Nilitamani kuyajua haya - Ajira Mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere (Part - III)

    Siku ya Jumapili, ofisi ya Kisaki (Kwa Dada Kulwa) huwa inafunguliwa jioni na hasa ni kwaajili ya kutoa vibali vya wanaoingia jumatatu. Hivyo ilipofika mida ya saa kumi na mbili kasoro ya jioni nilifika pale na bahati nzuri sana Dada Kulwa hakuwepo. Alikuwepo msaidizi wake kijana mmoja...
  12. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Nilitamani kuyajua haya - Ajira kwenye Mradi wa Bwawa la Umeme ( Part Two)

    Baada ya HR kusema hayo alitutoa nje ya ofisi yake, Hapo nikajiuliza kitu. Hivi yule "Dada Kulwa" alivyokuwa ananiambia kuwa amefunga kutoa vibali siku ile nilipofika na mimi kumkubalia hiyo kesho yake ningewezaje kuwahi hii interview? Pia nilichokiona mpaka hapo ni kuwa HR wa hii kampuni ya...
  13. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Nilitamani kuyajua haya - Ajira kwenye mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere (Part One)

    'Nilitamani ningeyajua haya kabla ya Kuomba ajira kwenye mradi wa "Bwawa la Nyerere" chini ya kampuni ya JV Arab Contractor & Elsewedy Electric' Kama ilivyo kwa vijana wengi wa kitanzania, katika pita pita zangu mitandaoni na kutafuta ajira nilikutana na tangazo ajira toka kwa hawa jamaa...
  14. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli; ubanaji matumizi; na kujichanganya [contradict]

    Ahsante NN, Sio wewe peke yako, wapiga vigelegele wenzio wote wameanza kurejewa na akili zao!! Ni kitambo kidogo tu wote tutaongea lugha moja!
  15. jouneGwalu

    JamiiForums Tanzania The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

    Sidhani kama hakuliona hilo; Mkuu The Bold huishi kutuchengua mashabiki zako!
Back
Top Bottom