Kutoka 20:5
[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Mimi mwenyewe natamani kuwa padri ili nilihubiri Neno la Mungu ambalo nilamuhimu zaidi hapa duniani.sema tu kule seminary najua watanionea wivu sitafika mbali watanitimua tu.
Iko hivi..kulikuwa Kuna miti miwili porini.mmoja ulikuwa mzuri umenyooka na ulikuwa unavutia kwakweli,pembeni ya huo mti mzuri ulikuwepo mti mwingine ambao wenyewe ulikuwa umepindapinda ,kiujumla haukuwa unavutia..Basi Kila upepo ulipovuma ule mti mzuri ulikuwa ukiucheka ule mti mbaya kwajinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.