Wakuu naomba kufahamu..
Kwa ninavojua mimi kwakua Vodacom imetoa umiliki wa 25% za hisa kwa wanahisa wake, basi 25% ya ile faida wanayoipata Vodacom (Net Profit) ndio itakayo gawanywa kwa walionunua hisa, kila mmoja kwa asilimia yake....
Sasa naskia wanasema Vodacom itagawa 50% percent ya faida...
Habarin wakuu,
Najua watu tunajifunza mambo mengi mazuri kuhusu maisha kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii. Kupitia uzi huu tujuzane mitandao mingine yakijamii tunayo ifahamu mbali na Twitter, Facebook,JF, Instagram na Whatsapp.
Habarini wakuu..
Najua wengi humu ni watumiaji wa whatsapp, kwaio tutajiane whatsapp status unayoitumia sasa au uliyowahi kukutana nayo ukaipenda au ikakufurahisha..yangu ya sasa ni "Ninaipenda furaha lakin haidumu"
karibuni...
unatakiwa uwe funny kidogo..ladiez wanapenda kufurahishwa..so hakikisha convo yako haim.boi..
Ila ukiona no ushirikiano kabsaaa, piga chin maan hawa n wengi kuliko sisi[emoji19]
Tunajua wanawake wanapenda care kutoka kwetu..so kupitia namba itakua rahisi kumjulia vihali vya hpa na pale..mwisho ataona unamjali alaf unamaliza pale kat
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.