Teknolojia sio lazima wewe ndio uwe mgunduzi wa kwanza ili iweze kuwa Bora! Hata inapokuwepo na wewe ukaiboresha na kupendwa ni mageuzi pia ya teknolojia!
Hawa Ukraine hata wafanyeje hawataweza kushinda hii vita! Zaidi utawala wa zelensk utaanguka na itakuja serikali nyingine ambayo itafanya mazungumzo ya amani na Urusi na mgogoro utaisha! Maeneo yaliyochukuliwa hayatarudi Abadan!
Wapangaji na nyinyi kwenye nyumba za watu mnakuja na tabia zenu! Uzinzi mwingi ujuaji, kutokutaka kujishughulisha na chochote unapoishi zaidi ya kulipa Kodi! Bili zingine una malalamiko yasiyoishaHii hasa Hawa masela wanaotaka chumba kimoja! Unampangisha mmoja kesho unakuta wapo watatu au zaidi...
Nchi za magharibi na USA Huwa wanaiona Dunia ya kimataifa ni kama watumwa wao! Wao hasa ndio wenye akili pekee na ndio wanapaswa waamue Dunia iendeje na ifate matakwa Yao! Kinyume na hapo wanakuona mbaya!
Wananchi wa Ukraine wanapaswa kuwa na sauti Moja kupingana na kiongozi wao kuhusiana na vita dhidi ya Urusi!
Ama sivyo taifa lao linaenda kuwa taifa la ajabu duniani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.