Myonge mnyongeni haki yake apewe m nadhan lissu akiwa bungen alijarib kutilia mashaka juu ya uteuzi wa jaji huyo pamoja na madudu alofanya na kampuni yao ila leo leo anatukumbusha hata kama ina makosa ilipaswa kuwajibishwa na si kulipuliwa LISSU NA WENGER HAWAKAMATIKI
Sent using Jamii Forums...
Simu inawaka vizur tu naitumia baada ya muda inaganda then inazma nafanya hard reset (clear data na wipe cache partition) then nawasha inafanya kaz tena baday tatizo linajirudia tena karibia kila siku nkaweka firmware mpya bado tatizo n lile
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Simu yangu inatatizo la kujzma the inawaka inaonyesha logo then inaganda inazma tena and the issue goes on repeatedly mpaka nifanye hard reset nimepeleka kwa fundi akainstall new rom but the problem is still there plz help
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.