Recent content by joshuajr1

  1. J

    Wale wa UDOM msaada wenu tafadhali

    The University of Dodomawebsite kwa taarifa zaidi
  2. J

    Tofauti kati ya computer science na IT

    kwa sasa nasoma bachelor of science in education with ICT,udom,napenda kuendelea huko mbele computer science si inawezekana mkuu fadhili
  3. J

    Tofauti kati ya computer science na IT

    mkuu software engineering udom inatolewa
  4. J

    Tofauti kati ya computer science na IT

    mkuu fadhili paul nimekuelewa shukrani kwa ufafanuzi lakini kwa mazingira yetu africa ipi inakuwa ni nzuri kusoma na linapokuja suala la ajira ipi ni nzuri.
  5. J

    Lita Laki 3 za mafuta mazito kwa siku kuzalisha umeme mwanza.

    itatumika treni kusafirisha hayo mafuta kutoka dar kwenda mwanza
  6. J

    Umepangiwa chuo kipi na Course program ipi...?

    ni kama inavyojieleza,ni ualimu wa technologia ya habari na mawasiliano karibu mkuu
  7. J

    Nauza external trancend 1tb

    poa nitakuchek,nipo dar?ila kuna jamaa zangu arusha nitawajuza ili nipate
  8. J

    Nauza external trancend 1tb

    upo wapi mkuu
  9. J

    Natafuta tempo ya kufundisha computer,nipo dar.

    wanajf,kimsingi natafuta tempo ya kufundisha computer ktk college yoyote hapa dar,mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma with degree program BSE ICT,naomba kuwakilisha kwenu wanajukwaa.
  10. J

    LinkedIn, nafasi tosha ya kutunisha misuli ya IT

    mkuu nashukuru sana nitaingia huko
  11. J

    Kikwete ni rais bora na wa kuigwa barani Africa

    hukusikia mipango iliyozungumziwa ikiwemo power afrika kwa kusambaza umeme hadi vijijini,au ulitaka aje kugawa pembejeo vijijini na pesa?
  12. J

    Use your USB drive as RAM

    mkuu shukran sana
Back
Top Bottom