Recent content by joshely

  1. joshely

    Hizi ajira mpya za Ualimu zilizotoka hazikufuata haki na hata kama wataendelea kutoa watafata mtindo waliouanzisha

    Hyo organic name ni ya planet Mars?.... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  2. joshely

    Kwanini ndugu wa familia moja tunakua maadui?

    sorry kwa ku quote..... Hii nondo nime Note kwenye kitabu cha kumbukumbu.... Jf patamu kweli
  3. joshely

    Hizi ajira mpya za Ualimu zilizotoka hazikufuata haki na hata kama wataendelea kutoa watafata mtindo waliouanzisha

    They don't read to understand but they read read to criticize.... Take it easy
  4. joshely

    Hizi ajira mpya za Ualimu zilizotoka hazikufuata haki na hata kama wataendelea kutoa watafata mtindo waliouanzisha

    Natoka nje ya maada.... MI binafsi sikusomea ualimu lkn nilipomaliza chuo nilijitolea shule za private kama mwalimu..... BTW sasa nafanya issue ambayo sikusomea chuo ... Kama kweli una wito wa ualimu tafta shule za binafsi ufanye kazi... Nje na hapo tuende shamba tukatafte mali
  5. joshely

    Hizi ajira mpya za Ualimu zilizotoka hazikufuata haki na hata kama wataendelea kutoa watafata mtindo waliouanzisha

    Umeandika kwa kunung'unika mkuu.....Naamini nawe ni mwalimu pia. Nawe utakuwa miongoni mwa walioachwa sasa hebu jaribu kufanya mishe zingine achana na mambo ya kuajiriwa.... Naweza kusema hivi... Ukiona mfumo umebadilika kutoka kuajiriwa moja kwa moja kwenda mfumo wa kutuma maombi ili uajiriwe...
  6. joshely

    Kosa gani ambalo litakufanya uachane na mpenzi wako?

    Utajuaje kuwa kagegendana
  7. joshely

    Mpenzi wangu hanihudumii wala haniridhishi kimapenzi

    kusoma hujui hata picha huoni
  8. joshely

    Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

    Subscribed .....hizi nondo skuwahi kuzipata Mahalia pengine Kabla
  9. joshely

    Nimetongoza nikamganda kanitolea nje kumbe ni muathirika

    hahahhh...wakapime syo hayo maneno ya kuambiwa
  10. joshely

    Nimechoshwa na tabia zake huyu kaka

    wanaume MUNGU hapendi
  11. joshely

    Sharti la kuvua nguo zote wakati wa kujisaidia

    Muhimu usafi aisee .nadhani sababu ni USAF I
  12. joshely

    Mpenzi wangu hanihudumii wala haniridhishi kimapenzi

    PM huwa stumii ...weka kila kitu hapa kwenye comments
Back
Top Bottom