Natoka nje ya maada.... MI binafsi sikusomea ualimu lkn nilipomaliza chuo nilijitolea shule za private kama mwalimu..... BTW sasa nafanya issue ambayo sikusomea chuo ...
Kama kweli una wito wa ualimu tafta shule za binafsi ufanye kazi... Nje na hapo tuende shamba tukatafte mali
Umeandika kwa kunung'unika mkuu.....Naamini nawe ni mwalimu pia.
Nawe utakuwa miongoni mwa walioachwa sasa hebu jaribu kufanya mishe zingine achana na mambo ya kuajiriwa....
Naweza kusema hivi... Ukiona mfumo umebadilika kutoka kuajiriwa moja kwa moja kwenda mfumo wa kutuma maombi ili uajiriwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.