Recent content by JosephNgale

  1. JosephNgale

    Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki

    Tueleweshane baadhi ya verse kwenye Ile wimbo. Me nata kujua pale aliposema. "Klosi anapga ngolo kante, inamkuta mbape anafunga Pogba"
  2. JosephNgale

    Ifike mahala Watanzania tuache kusomea ualimu, supply imekuwa kubwa mno kuliko demand

    Coz zipo nyingi, pia wanaohotimu ni wengi, ni , achaguo Yao Nini wakasomee. Lakini sisi ambao tayar tumepita huko tujaribu kuwashauri Ili tusijazane wa kozi Moja huku mtaani[emoji24][emoji24][emoji24] ni shidaaa.
  3. JosephNgale

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Ungetoa hata kapicha hivi tukaone, maana huku kwetu tukifika duka la dawa tunasema tu namba dawa za malaria hata hatujui effects. Lakini hapa najifunza jambo
  4. JosephNgale

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Ndio hivyo hosp weng wanaogopa kukaa mda mrefu
  5. JosephNgale

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Kuhusu tiba ya kuvunjika mfupa, wengine wanakimbia hospital wanafata tiba asili azicheleweshi n mchezo Mdogo sana na haichukui muda.
  6. JosephNgale

    Naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

    "BURE ALIKUFA NA KWENYE KABURI LAKE UMEOTA MBUYU"
  7. JosephNgale

    Naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

    Hadi somo la kutengeneza mafuta ya mgando ya kupaka mwilini, mishumaa na mafunzo mengi mengi meeengi tu
  8. JosephNgale

    Naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

    Nilinunua Tsh. 6,000/= Ukiitaji nikuuzie Kwa punguzo au nikupe namba ya Mwl. Wa ujasiliamali aliyeniuzia. Over
  9. JosephNgale

    Wazazi wakikulilia shida wasaidie

    Tusaidie wazazi, baraka zao muhimu sana kwenye maisha ya watoto wao. Haijalishi unasaidia mara ngapi Kwa mzazi.
  10. JosephNgale

    Itoshe kusema Simba na Yanga ni wadini hasa?

    Me nazani post za udini na promo za dini kwenye mitandao Wala hakibadilishi chochote, vifaa vyetu vya tehama tunavyotumia vina mambo mengi na mengine hata ayaendani na udini na nimabaya sawa na Yale tunayoyatenda(mungu pekee ndiye anayejua) na hao wanaopost aimaanishi kuwa wako safi, Bali...
  11. JosephNgale

    Naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

    Kama utapenda Nina kitabu kizuri Cha ujasiliamali kina masomo zaidi ya 20 ambayo yanahusu utengenezaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo hiyo ya sabuni ya maji. Kimeandikwa Kwa kiswahili. Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
  12. JosephNgale

    Wataalam wa IT naombeni msaada

    Dah pole sana. Ingekuwa imeonesha BSOD na ujumbe ambao unasema "your computer is ran to a problem need to restart" ningekusaidia maana juzi tu ndio nimetoka kulitatua hilo tatizo la BSOD. Kwa ushauri tu fungua then check ram. Na kama kuna slot 2 za ram jaribu kuchange slot.
  13. JosephNgale

    How to fix corrupted USB flash or USB flash with no media

    Wakuu habari za wakati, nimeona niandike title hapo juu ili kusaidiana na kufundishana namna ya kuzirejesha pen drives with no media au corrupted. Shiriki nasi ujuzi wako wa namna unavyotatua tatizo hilo kwenye USB Flash drive. Naomba kuwasilisha
  14. JosephNgale

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Vitabu vingi mnavyovitaja ni vya kiingereza, sisi ambao lugha hatuijui, inakuwaje wadau... Tumen na vya kiswahili. Apart from bible
Back
Top Bottom