Hongera mtoa hoja pia mjinga ww uliyesema wachaga wezi ndio mnaokesha vijiweni mkibishana nani tajiri wakati zipo fursa za kufikia huo utajiri wa mwenzako.
Wote mpo sawa maana serikali ya mtu ni kichwa chake mwenyewe ila Julius.k. Nyerere amejitahidi ila msiofikiria kwa undani ndivyo mzaniavyo kama mngekuwa nyinyi cjui mngekuwa mmetufanyia nini ?Hongera j.k.Nyerere wajukuu baadhi tunakukumbuka
Ni jambo zuri ulilolitoa kwa upande wa wasichana wenzako ila nawe unapaswa kujitambua lulu wewe ni bado binti mdogo sana nimejaribu kufuatilia maisha yaki na nimetambua umrkuwa kiasi gani hivyo kutunza usichana wako ndo rasilimali ya kwanza ktk maisha ya msichana jifunze kupitia nyakati katika...
Siitaji kuamini mnacho sema maana maisha kabla ya muungano sijui yalikuwaje kwa kutumia ufahamu wangu vijana wa kileo tumekuwa si wachujaji mambo hebu fikiria kama nyinyi wazazi wetu mnasema j.k nyerere aliiharibu nchi kwa vitu kamahivi c kweli kwani maisha ya kipindi kile ni tofauti sana na ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.