MI MPAKA LEO SIAMINI KAMA KUNA MWENYE AKILI NA BUSARA KAMA NYERERE
sasa busara zake zinasema hivi ......................
"Huwezi kuniua kwa nia njema, halafu useme kwamba haujaniua. Utakuwa umeniua tu. Na ukifufua serikali ya Tanganyika ni sawa na kuua Muungano, kama hamlijui hilo.
Hivyo, huwezi ukavunja Muungano halafu ukasema kwamba haukujua kama utauvunja MUUNGANO, Utakuwa umeshauvunja, na hautaweza kuurudisha tena. Msidhani mimi (Nyerere) na Karume hatukuziona serikali tatu" - Mwl. Nyerere 1993, Dodoma.
Nashangaa mbowe na magwanda ya chadema yanampinga Mwalimu nyerere kama sio laana kumpinga mzee nyerere ni nini