Jana nilienda ofisi za sekretariat ya ajira hada dar es salaam, nikambiwa ofisi zimeambishiwa Dodoma hapo wamebaki watu wawili tu na wao hawatakuwepo hadi baada ya wiki mbili. Nilishangaa sana inawezekanaje ofisi ya selikari kufungwa hivo..
Nimesoma bachelor of education in science, nafasi ninayoomba ni mwalimu daraja la IIIC. Hii imetangazwa na NAOT, Na nikiangalia qualifications wanazozitaka minazo
Naomba msaada kwa wanaotumia huu mfumo wa kuomba ajira za serikarin. Mara kadhaa sasa Kila nikifanya application inafail nandikiwa.
"Sorry! You can not apply for the job post, kindly Check Academic Programmes Qualifications Requirements for the Job Post""
Hii inatokea hata kwenye post ambazo...
Unaweza kuuita ni usanii uliopangwa na watu wanaosimamia mradi wa TANIPAC unaofadhiliwa na bank ya maendeleo ya Africa. Watu hawa walihadaa watanzania kuomba ufadhili wa masomo hukuwakiwa na watu wao tayari wamewachagua.
Habar za chini chini zinasema walikuwa na lengo la kukusanya mawazo ya...
Habari wadau, naomba kujua nifanyaje ili niweze ku-trace location ya namba ya simu iliyonipigia au ninayoipigia. Natakiwa kufanyaje au niwe na nini ili kufahamu mtu huyo yupo wapi. Nisaidieni wadau nimetapeliwa kwa simu aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli sifuraishi na baadhi za mambo yanayofanywa na CCM. Ila kwa upande mwingine bado sijaona chama mmbadala kuiongoza Tanzania yetu. Bora katiba ibadilike tuje na mgombea binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.