josephat japhet
Member
- Aug 29, 2013
- 54
- 37
Unaweza kuuita ni usanii uliopangwa na watu wanaosimamia mradi wa TANIPAC unaofadhiliwa na bank ya maendeleo ya Africa. Watu hawa walihadaa watanzania kuomba ufadhili wa masomo hukuwakiwa na watu wao tayari wamewachagua.
Habar za chini chini zinasema walikuwa na lengo la kukusanya mawazo ya tafiti (proposal) kwaajiri ya watu wao. Watu hawa wameshikiana na baadhi ya Wahadhiri kutoka chuo cha Nelson mandela wakiwa na makubaliano ya namna ya kucheza na fund za tafiti hizo
Habar za chini chini zinasema walikuwa na lengo la kukusanya mawazo ya tafiti (proposal) kwaajiri ya watu wao. Watu hawa wameshikiana na baadhi ya Wahadhiri kutoka chuo cha Nelson mandela wakiwa na makubaliano ya namna ya kucheza na fund za tafiti hizo